Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Huu ushamba wa lazima Biryani ipikwe ijumaa na iuzwe ijumaa imetokea wapi?? Na wengine wanaotaka Sikitu tofauti?? Mb TZ tumezubaa kibiashara na hamuoni Ijumaa mtacompete wengi? Kwani as long as itauzwa shida ipo wap c unapima Soo tu lazima iwe ijumaa??😡😡😡