Conservator
Member
- Jun 26, 2017
- 79
- 110
🤣🤣🤣BMW X1 na IST iliyo changamka
Hiyo gari si ya karne hii..X series ni X6 tu ndio gari.
Nadhani reason nyingine ni:
- X1 imeanza kutengenezwa late, 2009. Wakati X3 X5 na X6 zimeanza kitambo kidogo.
- Pia X1 ina share chasis na 1 series, ambayo nayo sio popular sana. Wakati X3 ina share na 3 series, X5 na 5 series ambazo ni maarufu sana.
- Hafu X1 gharama sana (FOB) ukicompare na wengine (hii uta confirm uko bedorwad).
- Na nyingine X1 is UGLY AF.
Imekaa kikike....au we wa kike?Wakuu Habari.
Nimetembelea tovuti za kampuni maarufu za kuagiza magari kutoka Japani kama Beforward, SBT, AUTOCOM na AUTOREC.
Kote huko nimeona miongoni mwa magari ya kampuni ya BMW (X3 naX5) ambayo wameyalist kama yanayonunuliwa sana.
Lakini mimi nimevutiwa na X1 ambayo pia hata bei zake sio kubwa sana.
Naomba kujuzwa zaidi juu gari hii ya BMW X1 hasa model ya 2010 mpaka 2012 au kwa ujumla.
Kuna BMW X2 nayo imekaa vizuri zaidi ya X1.The Sexiest BMW ever designed. Nilikuwa napenda Styling ya X5 but since nimekutana na X1 it really caught my feelings. Ndio BMW ambayo naweza ichagua straight away with No hesistation.
Mkuu kwenye X series ya BMW Kuna hizi BMW X2 na BMW X4 naona Bongo sio common.Nadhani reason nyingine ni:
- X1 imeanza kutengenezwa late, 2009. Wakati X3 X5 na X6 zimeanza kitambo kidogo.
- Pia X1 ina share chasis na 1 series, ambayo nayo sio popular sana. Wakati X3 ina share na 3 series, X5 na 5 series ambazo ni maarufu sana.
- Hafu X1 gharama sana (FOB) ukicompare na wengine (hii uta confirm uko bedorwad).
- Na nyingine X1 is UGLY AF.
Hauko serious, kwa hiyo Pacha wake X5 sio gari???X series ni X6 tu ndio gari.
X5 ni kifaa sio gariHauko serious, kwa hiyo Pacha wake X5 sio gari???
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
X6 gari ina shepu mbaya sana mnyama ni X5...aka X Fiza...X series ni X6 tu ndio gari.
Upo sahihi Mkuu X 4 ni gari na pia ina nafasi sana ndani uikute 2.0d ni mambo mengine hapo...Mkuu kwenye X series ya BMW Kuna hizi BMW X2 na BMW X4 naona Bongo sio common.
Kama BMW X4 nimewahi kitana nayo tena Ina namba za South Africa.