Kwanini Bongo hatuna viwanda vya magari?

Kwanini Bongo hatuna viwanda vya magari?

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447
Habari wakuu!

Kama swali linavyojionesha hapo.

Bongo tumejaaliwa natural resources...

Bongo tumejaaliwa enough power sources

Wabongo tumejaaliwa akili

Lakini kwanini Bongo hatuna viwanda vya magari?

Kama tatizo mtaji si tunaweza tukakopa world benk, kama tunavyokopa katika mambo mengine

KWANINI BONGO HATUNA VIWANDA VYA MAGARI? Kwa mtazamo wako
 

Attachments

  • Geely_assembly_line_in_Beilun%2C_Ningbo.JPG
    Geely_assembly_line_in_Beilun%2C_Ningbo.JPG
    542.2 KB · Views: 3
  • 5df82d31f427df6b.jpg
    5df82d31f427df6b.jpg
    20.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom