playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Wahenga nawakubali sana....wana msemo wao eti WINGI SI HOJA....Kenya walipeleka wawili tu KALIGRAPH kabebaMkuu tulipeleka wengi. Nadhani haijawahi kutokea bongo kupeleka nominees wengi kwenye tuzo kama ilivotokea kwa hii!!
Alienda kutumbuiza kule kwani hukuonaAlienda kufanya nini sasa?
Nikisha kwambia nimejiunga lini itakusaidia nini?
Kabisa mzee na wasiomjua huhis ni mnaija kibiashara inamsukuma ila kwenye mambo kama hizi sometimes inakuwa bahat nasibu sanaWabongo tuna copy ndiyo maana tunafeli kupush mziki wetu. Ladha ya mziki wa Nigeria inatambulika Africa na hata nje ya Africa. Diamond anapata umaarufu kwa kupita kwenye ladha za kinigeria ukiongezea na jinsi anavyo kuwa jukwaani akifanya shoo tu. Lakini Bado hajautambulisha mziki wa bongo flava katika nje ya mipaka ya tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwingine huyu.Hata Yesu alipingwa we nani ufungue Uzi then watu wote wakusapot???
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana they are straight shida tumezoea janjajanja ndo mana mambo kama hizi zikitokea macho yanatutokaVery true. Sound city, MTV na BET africa ziko kwa ajili ya NIGERIA TU/West Africa, sisi hazituhusu kabisa wale jamaa wana roho mbaya sana wanajikuta wao ndo AFRICA.
Bora hata tuzo zinazoandaliwa na vituo vya SOUTH AFRICA jamaa wako fair sana. Wale jamaa waliandaa tuzo ili kujitangaza tu kampuni yao itambulike zaid east africa na central africa bas.
Dhahania..Ghana hakuna aliyeshinda,south Ni kweli na Kenya kashinda best hip-hop kwa sababu Nigeria hawana watu wa hip-hop ,na angekuwepo wa hip-hop angeshinda mnigeria
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbn waliwah pata kaka mond alibeba...kiba alibeba shida watu wanataka Kila siku waahinde wao tuu hakuna hata BRAZIL ILIPIGWA 7-0 na GERMANY ndo maisha yalivyo
Sure bro..kibiashara itawaboost bt kwenye serious competition kufeli ni asilimia kubwa.True mkuu bongo hatuna sound ya kwetu na WCB ndio wanaweka hali kuwa mbaya zaidi maana wamekuwa copy cats wa chochote kinachotrend ilimradi watengeneze pesa. Huwezi kuwashinda watu kirahisi kwa kuwaiga wanachokifanya
Lakini pia kama unaangalia vizur WCB wanaji isolate sana mzee..from their fellow musicians hadi media houses... Hii inawanyima nguvu kwenye baadhi ya maeneo..kupata kolabo na msanii Wa WCB kaka ni bora ukatafute kolabo Nigeria wakati mwingine wanafanya na wanaowapenda wao na wasanii Wa nje ndo wanapewa kipaumbele zaidi hii pia ni mbaya kipindi kile ilikuwa Diamond akishiriki tuzo Wasanii kibao watapost kwenye page zao watu watapiga kura na mambo yataenda bt now days watu wanachukulia poa nahisi MAHUSIANO ni jambo la msingi sana kwenye tasniaTrue mkuu bongo hatuna sound ya kwetu na WCB ndio wanaweka hali kuwa mbaya zaidi maana wamekuwa copy cats wa chochote kinachotrend ilimradi watengeneze pesa. Huwezi kuwashinda watu kirahisi kwa kuwaiga wanachokifanya
Respects the OGz kwa mimi khali atabaki kuwa rapper bora africa .Huyu mnaija hamjui kaligraph jones. Ngoja aamke...respect the OG !!!
Omollo hana mpinzani kwa sasa.Respects the OGz kwa mimi khali atabaki kuwa rapper bora africa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo bora Afrika ya Wapi? Labda ya Uko Kwenu Tandale kwa Mfuga Kengewimbo kama tetema, wimbo bora Afrika unakosaje tuzo?
Mond sawa, je wizkid? duh...
Diamond Keshaishiwa Anatembelea Idea za Wenzie
Acha uongo wa Hip hop Wapo na Wameshindwa na Mkenya.Ghana hakuna aliyeshinda,south Ni kweli na Kenya kashinda best hip-hop kwa sababu Nigeria hawana watu wa hip-hop ,na angekuwepo wa hip-hop angeshinda mnigeria
Sent using Jamii Forums mobile app