Burnaboy JF-Expert Member Joined Dec 2, 2019 Posts 1,070 Reaction score 1,439 Jan 13, 2020 Thread starter #101 Eyce said: True mkuu bongo hatuna sound ya kwetu na WCB ndio wanaweka hali kuwa mbaya zaidi maana wamekuwa copy cats wa chochote kinachotrend ilimradi watengeneze pesa. Huwezi kuwashinda watu kirahisi kwa kuwaiga wanachokifanya Click to expand... Mkuu mondi akiamua kutoa bongo flava yenye viwango anaweza, ila naona kama kuna wakati ana balance na hali halisi ya biashara!!! Kama "icheketue" naona kama bongo fleva halisi. Ila kama haikufanyiwa promo kubwa kama hizi za "inama" na "babalao" ...
Eyce said: True mkuu bongo hatuna sound ya kwetu na WCB ndio wanaweka hali kuwa mbaya zaidi maana wamekuwa copy cats wa chochote kinachotrend ilimradi watengeneze pesa. Huwezi kuwashinda watu kirahisi kwa kuwaiga wanachokifanya Click to expand... Mkuu mondi akiamua kutoa bongo flava yenye viwango anaweza, ila naona kama kuna wakati ana balance na hali halisi ya biashara!!! Kama "icheketue" naona kama bongo fleva halisi. Ila kama haikufanyiwa promo kubwa kama hizi za "inama" na "babalao" ...
playboy babu JF-Expert Member Joined Nov 12, 2015 Posts 2,648 Reaction score 1,566 Jan 14, 2020 #102 joseph1989 said: Mwingine huyu. Click to expand... Asa unaogopa kufungua uzi kisa kuna watu watapinga...upo serious bro? Sent using Jamii Forums mobile app
joseph1989 said: Mwingine huyu. Click to expand... Asa unaogopa kufungua uzi kisa kuna watu watapinga...upo serious bro? Sent using Jamii Forums mobile app
Super Villain JF-Expert Member Joined Jan 2, 2019 Posts 9,391 Reaction score 21,045 Jan 14, 2020 #103 Nasty C, AKA & Nyovest hawapo kwenye category ya Hip Hop [emoji23][emoji23][emoji23] wanamatani mabaya hawa Jamaa.
Nasty C, AKA & Nyovest hawapo kwenye category ya Hip Hop [emoji23][emoji23][emoji23] wanamatani mabaya hawa Jamaa.