Kwanini Bunge la Ulaya halitaki Afrika Mashariki kutekeleza mradi wa mafuta na gesi?

Kwanini Bunge la Ulaya halitaki Afrika Mashariki kutekeleza mradi wa mafuta na gesi?

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Tuna mradi mkubwa kutoka Uganda hadi Tanga jambo la kushangaza bunge la Ulaya halitaki kabisa mradi huo utekelezwe kwa minajili ya uharibifu wa mazingira cha kujiuliza yale mabomba ya gesi ya Urusi kwenda Urusi yenyewe mbona hayakuzuiliwa?

Marekani inaongoza kwa kuwa na mabwawa makubwa ya kuzalisha umeme ikifuata China hawa watu wakati wanafanya hayo walifanya kwa ajili ya watu wao hakuna cha uharibifu wa mazingira ila huku kwetu tunaharibu mazingira.

Kama miradi ya gesi na mafuta inazuiliwa je na ile mikataba ya LNG maana yake haina maana yoyote.

Je, Rais yupo tayari kusikiliza matamko ya watu hao huku akiona nchi yake haina nishati ya kutosheleza?

Ifike mahali kama nchi hawa watu tusiwaabudu kwa kila kitu kwa sababu eti wanatupa misaada ya mikopo kama tutaendelea kuwaabudu watu hawa hakika nchi yetu utaendelea kuwa maskini ingawa umasiki wa watanzania umefanywa na viongozi wa CCM yenyewe.
 
Huo mradi upo kwenye utekelezaji, kampuni ya Total ni ya Ufaransa, Wafaransa hawawezi kukubari kampuni yao kuhujumiwa.

Hivi ndio tunaweza kuita vita vya kiuchumi na siyo ile vita feki ya uchumi tuliyokuwa tukidanganywa na yule mwehu.
Kama alikuwa mwehu wewe ndie mwehu zaidi, kwa sababu hujui hata muasisi wa huu mradi.
 
Kama alikuwa mwehu wewe ndie mwehu zaidi,kwa sababu hujui hata muasisi wa huu mradi.
Shwine wewe!
Mradi ni wa Museven jinga wewe, Museven anaiheshimu Tanzania na amesoma Udsm.

Yule mwehu ndio aliwadanganya yeye ndio muasisi wa huo mradi?

Hapo kwanza ncheke.
 
Serikali imeweka kiasi gani kwenye huo mradi wa gesi kama si wanategemea Total energy kama mwekezaji? Kama serikali zetu zingekuwa zinajimudu wala hilo bunge la EU wala lisingekuwa sababu.
 
Mradi ni wa Museven jinga wewe, Museven anaiheshimu Tanzania na amesoma Udsm.

Yule mwehu ndio aliwadanganya yeye ndio muasisi wa huo mradi.

Hapo kwanza ncheke.
Huu mradi ni wa serikali ya awamu ya sita.
 
Kwaza huu mradi tayari ulikua umeshaanza kuhujumiwa na majirani baada ya wao kuukosa
 
Wenye nguvu ndiyo hutawala wakija na sheria zao...
 
Back
Top Bottom