Kwanini bunge lisiwaandikie Benki ya Dunia kupinga hoja za Mbunge Zitto badala ya "kutamani" kuchukua njia ya mkato?

Uwezo wa kujenga hoja na kuandika wanao?
 
Ukiwa kibogoyo utakula kuku kwa mlija

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si ameshajibu bwana Alberto Msando aka mr papuchi wa gigy money?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini waumize vichwa wakati AK 47 na risasi zipo za kumwaga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…