Kwanini bunge lisiwaandikie Benki ya Dunia kupinga hoja za Mbunge Zitto badala ya "kutamani" kuchukua njia ya mkato?

Kwanini bunge lisiwaandikie Benki ya Dunia kupinga hoja za Mbunge Zitto badala ya "kutamani" kuchukua njia ya mkato?

Bahati nzuri Bunge letu limesheheni wabobezi na ngumbaro wachache, sasa kwanini hoja za Zitto zisijibiwe kwa hoja?

Zitto ameiandikia Benki ya Dunia katika nafasi yake kama Mbunge na siyo kiongozi wa chama. Hivyo Bunge lina nafasi nzuri ya kumkanusha Zitto kwa kuiandikia WB ukweli ulivyo badala ya kumshambulia Zitto kama mtu binafsi.

Niwape changamoto hii mzee Chenge na Dr Tulia: tumieni weledi na kuweka siasa pembeni ili jambo hili liishe.

Maendeleo hayana vyama!
Uwezo wa kujenga hoja na kuandika wanao?
 
Hoja murua ina mashiko.....Kwa nini hawakutaka kuzijibu hoja za Lissu na badala yake wakakitaka kichwa chake niletwe mezani kama kile cha Yohana Mbatizaji.

Ni muendelezo tu wa awamu ya kushindwa kujibu hoja !!

CCM inasema Kuzipangua hoja zinazomulika ukweli si kazi ya kitoto chief....Why don't u use the 2nd option inayoonekana kuwa nyepesi less risk?
Ukiwa kibogoyo utakula kuku kwa mlija

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si ameshajibu bwana Alberto Msando aka mr papuchi wa gigy money?
Bahati nzuri Bunge letu limesheheni wabobezi na ngumbaro wachache, sasa kwanini hoja za Zitto zisijibiwe kwa hoja?

Zitto ameiandikia Benki ya Dunia katika nafasi yake kama Mbunge na siyo kiongozi wa chama. Hivyo Bunge lina nafasi nzuri ya kumkanusha Zitto kwa kuiandikia WB ukweli ulivyo badala ya kumshambulia Zitto kama mtu binafsi.

Niwape changamoto hii mzee Chenge na Dr Tulia: tumieni weledi na kuweka siasa pembeni ili jambo hili liishe.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bahati nzuri Bunge letu limesheheni wabobezi na ngumbaro wachache, sasa kwanini hoja za Zitto zisijibiwe kwa hoja?

Zitto ameiandikia Benki ya Dunia katika nafasi yake kama Mbunge na siyo kiongozi wa chama. Hivyo Bunge lina nafasi nzuri ya kumkanusha Zitto kwa kuiandikia WB ukweli ulivyo badala ya kumshambulia Zitto kama mtu binafsi.

Niwape changamoto hii mzee Chenge na Dr Tulia: tumieni weledi na kuweka siasa pembeni ili jambo hili liishe.

Maendeleo hayana vyama!
Kwanini waumize vichwa wakati AK 47 na risasi zipo za kumwaga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom