Kwanini CAF Cup halifananishwi na CAF Confederation Cup?

Kwanini CAF Cup halifananishwi na CAF Confederation Cup?

Mnahangaika sana ili muweke rekodi kuizidi Simba lakini kumbukeni hata ubingwa wa kihistoria ni wa mchongo sana.Maana ubingwa wa ligi daraja la kwanza sio sawa na ubingwa wa ligi kuu.
Idadi ya timu imebadilika,kila kitu kimebadilika.Zamani ukishinda unapata pointi 2 sare pounti 1.Sasa unajiitaje bingwa mara 29?
Yaanu hata mimi nadhani uko sahihi.

Unaajua kipindi hiko Yanga alikuwa anapewa ubingwa kaabla hata ligi haijaanza.

Alafu isitoshe viongozi wote wa TFF tangu mwaka 1935 walikuwa wanapenda kuipa yanga tu ubingwa bila sababu ya msingi.

Kwa sababu kipindi hiko ndio timu ilikuwa inapendwa kuliko yeyote ile.

Kwa kuhitimisha viongozi wote waliopita na marais wote waliopita hawana akili za mpira kukushinda wewe.

Hakika unastahili maua yako.
 
Sasa nimeamini yale aliyosema Manara kuwa Yanga wenye akili ni wawili tuu.
Nikuulize, nyie si ndio mnajinasibu maningwa wa kihistoria mara 29 Tanzania? Jee hiyo miaka ya 60 na 70 ligi hii ilikuwa inajulikana kama NBC PREMIER LEAGUE?
Kwa taarifa yako, ligi hii imewahi kutambulika kana Ligi daraja la kwanza, ikaitwa Ligi kuu, Ligi kuu ya Jamhuri nk lakini yote yalikuwa ni maboresho na maana yake haikubadilika.
Sasa kwa upuuzi wenu na ubishi mliofundishwa na yule mzungu poli mnatunga na kubisha kila kitu
Basi tuseme Simba mmewahi kucheza fainali za CAF confederation cup! Vipi umesikia raha?
 
Back
Top Bottom