Hii pia inatoa mwanga wa pale Mungu anapokasirika na kutoa laana kwa kosa lililotendwa na kizazi cha kwanza.. Laana hiyo huenda mpaka kizazi cha tatu na cha nne! Let's try to connect the dotsYes aliyefanya kosa ni HAM ila laana ikaenda kwa CANAAN ndio nmetoa sababu kadhaa kwanni ikawa hivo soma nadharia #1 utapata mwanga
Kwa nini alilaaniwa Canaan ambaye hakujua kosa na si aliyemchungulia?
Karibu sana mkuu wanguNimewasili tayari
Asee umenifungua macho hapa, so huenda dhana hii ndio ilimkuta na canaan pia...Hii pia inatoa mwanga wa pale Mungu anapokasirika na kutoa laana kwa kosa lililotendwa na kizazi cha kwanza.. Laana hiyo huenda mpaka kizazi cha tatu na cha nne! Let's try to connect the dots
Hapa na Mimi nilitaka kuuliza hiv hiviMkuu nakuelewa sana.......INA...kama kumchungulia baba Ni kulala na mkewe.....jee.....kumfunika inaweza kuwa na tafsiri gani?
mkuu nakupata, ngoja tuendelee kufikili kibibiliabibilia zaidi wakati tunasubiri wasomi wa kiyahudi,kimushaf,kijubilee na kikaldayo.Mkuu mitale na midimu.....hoja yako ya kuwa Nuhu hakumlaani Ham sababu ya Baraka aliyopewa na Mungu ina mashiko pia nafkiri inaweza saidia kutatua kizungumkuti hiki ILA nikiuliza mbona kuna instance nyingi ambazo Mungu anabariki na baadae analaani mfano wana wa israel walibarikiwa sana kwa maneno ya Mungu mwenyewe na baadae wakaja kulaaniwa na Mungu huyo huyo.... Hata Mungu alibariki uzao wa Abraham ila tunaona Yakobo alimlaani mtoto wake aliyelala na hawara yake na laana ilisimama !! Je kama huku kwa Yakobo mambo yalikuwa hivo je kwanini hayakuwa hivo kwa Nuhu pia as far as Genesis 9:1 is concerned
Tusubiri majibuHapa na Mimi nilitaka kuuliza hiv hivi
Hapa na Mimi nilitaka kuuliza hiv hivi
Mkuu nakuelewa sana.......INA...kama kumchungulia baba Ni kulala na mkewe.....jee.....kumfunika inaweza kuwa na tafsiri gani?
Mkuu ambacho nataka kieleweke ni kwamba Nuhu kweli alilewa pamoja na mkewe alafu Ham kuona mama yake yupo kihasara akamuingilia hivyo hapo ndipo ALIFUNUA UCHI WA BABA YAKE hivyo wakifunika UCHI itakuwa kinyume chake labda walienda kumzuia HAM kuendelea kufanya kitendo hicho kwa Mama yao so kwakuzuia WAMEFUNIKA UCHI WA BABA YAO ndio maana wakabarikiwaTusubiri majibu
Mkuu ambacho nataka kieleweke ni kwamba Nuhu kweli alilewa pamoja na mkewe alafu Ham kuona mama yake yupo kihasara akamuingilia hivyo hapo ndipo ALIFUNUA UCHI WA BABA YAKE hivyo wakifunika UCHI itakuwa kinyume chake labda walienda kumzuia HAM kuendelea kufanya kitendo hicho kwa Mama yao so kwakuzuia WAMEFUNIKA UCHI WA BABA YAO ndio maana wakabarikiwa
Najaribu kufikiri tu ngoja wataalam watakuja nisahihisha
hahaaa...nakupenda JF ...watu hamuishiwi hoja wallahi...huku ndio kuwaza nje ya box sasaMkuu nakuelewa sana.......INA...kama kumchungulia baba Ni kulala na mkewe.....jee.....kumfunika inaweza kuwa na tafsiri gani?
aiseee"" hawakumpiga hata makofi huyo ham ""?...jinga kabisaMkuu ambacho nataka kieleweke ni kwamba Nuhu kweli alilewa pamoja na mkewe alafu Ham kuona mama yake yupo kihasara akamuingilia hivyo hapo ndipo ALIFUNUA UCHI WA BABA YAKE hivyo wakifunika UCHI itakuwa kinyume chake labda walienda kumzuia HAM kuendelea kufanya kitendo hicho kwa Mama yao so kwakuzuia WAMEFUNIKA UCHI WA BABA YAO ndio maana wakabarikiwa
Najaribu kufikiri tu ngoja wataalam watakuja nisahihisha
Kaalaniwa laana isiyo yake.. Huu ni mtazamo wangu lakiniAsee umenifungua macho hapa, so huenda dhana hii ndio ilimkuta na canaan pia...
Nashukuru mkuu kwa Ilimu yako bila shaka yatoka kwenye Quran takatifu surat Hud..... Huyo mtoto kwenye sura hii anaitwa Kanaan pia naanza kupata picha kubwa zaidi....NAOMBA NIWEKE BOLD.
Mkuu ndani ya Qur-an ipo hoja kama hio au mfano wa hio,,ingawa simulizi yako bado haijatiririka kama ilivyo ndani ya Qur-an.
Kwa kifupi yupo mtoto wa Nuhu aliekufa kwenye gharika,,wakati anahangaika(anatapatapa) ndipo Nuhu akamwambia mola wake Ee mola wangu uliniahidi kwamba wanangu hawataangamia.Mwenyezimungu akamwambi "Huyo si katika Ahali yako(watu wa nyumbani kwako),na usiuombe jambo ambalo hauna elimu nalo"...soma maneno hayo between line ili ujazie utafiti wako.
Hahahahahaha asee ingekuwa uswahilini kwetu huku ujiji ama kigogo sambusa lazima wangemgawana vipandeaiseee"" hawakumpiga hata makofi huyo ham ""?...jinga kabisa
Chief ktk hoya No.2 hapo wakati Nuhu anamlaani Kanaani, kanaani alikua ameshazaliwa au alimlaani kupitia mgongo wa Ham?mkuu nimefuatilia kwa ufupi, nimegundua kuna nadharia rundo kuhusu hilo tukio.
na wengine wameenda mbali nadhani umekwepa kuiandika kwa sababu ya kimaadili Huyo Ham alimsodoma (homosexuality) baba yake au hiyo hoja ya castration pia. hii ni kwa mujibu wa babylonian talmud na tafsiri za baadhi ya marabbi. wameenda mbali hadi kutafsiri neno la kigiriki (kutoka kwenye septugiant ) "akamuona" wametafsiri au weka maana ya kimapenzi zaidi.
MAONI YANGU ZAIDI:
Naendelea kujikita kwenye maandiko matakatifu (bibilia ) tu kujenga baadhi ya hoja.
1:Hakuna mambo ya kusodomana, wala kuziniana kwenye hilo tukio, nadhalia hizo naona zinamadhaifu hata jitihada za kuzihusianisha na aya za mbele zisizoumana kimaana.
2: Kwa nini Ham asilaaniwe alaaniwe mwanaye?
*Kumbuka laana hiyo imetolewa na Nuhu sio Mungu. hivyo inatufikirisha zaidi.
*Mungu alikuwa amekwishambariki HAMU.
" Naye Mungu akambariki Noa na wanawe(ham,shem na yapheti), akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, mjaze dunia." Mwanzo 9:1
hapo ni wazi Mungu kambariki HAMU hivyo laana ya nuhu inaweza isifanye kazi, na wenda imeandikwa kuwa inaenda kwa kaanani kwa sababu ndio mzao wake ambae alikuwa hana hizo baraka zilizotolewa na Mungu.
Maoni haya ambayo nayaunga mkono yanaumana na Magombo ya kale yaliyochimbuliwa (dead sea scrolls 4Q252) wakizungumzia tukio hilo.
3:Maoni ya mwanahistoria wa kiyahudi ambaye anatambulika kwa wananzuoni Josephus anasema nuhu hakumlaani HAM kwa sababu ya ukaribu wao hivyo akaamua badala yake amlaani mtoto wa mtoto wake. (maoni haya yanaweza kuleta mantiki ukijumuisha na yale ya mwanzo9:1).
TUKIRUDI KWENYE BIBILIA
kwa sababu ya ukinzani wa nadhalia nyiiingi ambazo nimegundua kuna maelfu ya watu, wasomi wameamua kupiga kambi mahala ambapo bibilia imenyamaza na wao kupajaza na kupashindilia na nadhalia lukuki inanifanya niamini facts ni zile zilizoandikwa katika bibilia.
1:Nuhu alilewa.
2:Kwa Mujibu wa Bibilia Kulewa ni Dhambi (walevi hawatairithi nchi, isipokuwa wametubu. 1Cor6:9-18)
3:Mtoto wake Ham alimchungulia aliuona UCHI wa baba yake.
4:Nuhu sio Mungu, akaamua kumlaani mtoto wa Ham Kaanani kwa sababu zake aliporudiwa na fahamu.
5:Ukiangalia ndugu zake hamu walikuja kumfunika uchi wa baba yao bila kuuangalia, kwa mtiririko wa matukio utaona hakuna element yoyote ya ngono katika tukio hilo lililohusisha wanaume wanne.
5:Hakuna Ushahidi kuwa Laana hiyo ya kifamilia inauhusiano na Uweusi wetu katika bibilia.
magap katkati ya hizo biblical facts yanaweza kujazwa na nadharia yoyote ile mkuu.
nyongeza ya maoni, katikati ya nadharia zote nashikilia hizo biblical facts kama msingi mkuu.
barikiwa mkuu.
Na vipi kuhusu baraka nazo huwa zinaenda kuwapata hadi vizazi vijavyo?Angalia katika koo ama soma bandiko la laana za kifamilia... Unakuta waliofanya kosa ni wengine kabisa lakini taabu wanaipata mpaka kizazi cha tatu... Connection ya damu
Ndio angalia kuna familia ni baraka vizazi na vizazi na nyingine ni laana mwanzo mwishoNa vipi kuhusu baraka nazo huwa zinaenda kuwapata hadi vizazi vijavyo?