Uchaguzi 2020 Kwanini CCM hawamkemei Harmonize kumtukana Gwajima kila mara, tena mbele ya Magufuli?

Uchaguzi 2020 Kwanini CCM hawamkemei Harmonize kumtukana Gwajima kila mara, tena mbele ya Magufuli?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Harmonize amekuwa aki perform wimbo wake wa UNO mbele ya Magufuli kila mara

Kwenye wimbo huu unaozungumzia kiuno (Uno) Kuna mstari unaosema 'Si ndio lile Gwajima alimmwagia kondoo'

Akimaanisha video fulani ambayo ilipakiwa mtandaoni ikimuonyesha mtu anayedaiwa kuwa Gwajima akifanya ngono na kukatika kiuno juu ya kifua cha binti ambaye hakufahamika

Kwa kuwa Polisi wakishirikiana na wataalamu wa digital media walichunguza na kuhitimisha video Ile haikuwa ya Gwajima iweje harmonize anazidi kumchafua kwenye wimbo wake tena mbele ya Magufuli? Wakati huyu Ni mgombea Ubunge wa CCM Jimbo muhimu la Kawe?

Wimbo huu unapaswa kufanyiwa edit ndio uchezwe radioni au kwenye tamasha lolote hasa linalohusu kampeni za CCM
 
sema one, two, three four - UNOO - ha ha ha uno la GwajiBOY siyo!! Ila bana tusema ukweli tu kwamba yule mtoto alikuwa ni mkali balaaa!!
 
Ile video ni ya Gwajima kabisa ni maana mwenyekiti naye anakatika uno kama loteee
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hehehehehe wote ndio tabia zao. Harmonizer anajaribu kuokoa Imani ya ccm kwa sasa ni mfalme.
 
sema one, two, three four - UNOO - ha ha ha uno la GwajiBOY siyo!! Ila bana tusema ukweli tu kwamba yule mtoto alikuwa ni mkali balaaa!!
Ah wapi! Alila kama gogo hakutoa ushirikiano. Kama alilazimishwa tu
 
Kuna mtu anapenda hizo nyimbo, kwani Tembo hajapewa kofia.??
 
Ni kweli hata Mwamposa hana kesi ya kujibu kutokana na mauaji ya Moshi.

Watenda dhambi ni kina Amberutty tu wengine inatafutwa namna yoyote ionekane hawahusiki.
Amber Rutty si alikuwa Akionekana sura kabisa?

Mwamposa Ile ilitokea stampede ambayo yeye alikuwa ameshaondoka
 
Back
Top Bottom