Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Nani WA kuthibitisha sasa?Haijathibitishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani WA kuthibitisha sasa?Haijathibitishwa
Harmonize amekuwa aki perform wimbo wake wa UNO mbele ya Magufuli kila mara
Kwenye wimbo huu unaozungumzia kiuno (Uno) Kuna mstari unaosema 'Si ndio lile Gwajima alimmwagia kondoo'
Akimaanisha video fulani ambayo ilipakiwa mtandaoni ikimuonyesha mtu anayedaiwa kuwa Gwajima akifanya ngono na kukatika kiuno juu ya kifua Cha binti ambaye hakufahamika
Kwa kuwa Polisi wakishirikiana na wataalamu wa digital media walichunguza na kuhitimisha video Ile haikuwa ya Gwajima iweje harmonize anazidi kumchafua kwenye wimbo wake Tena mbele ya Magufuli? Wakati huyu Ni mgombea Ubunge wa CCM Jimbo muhimu la Kawe?
Wimbo huu unapaswa kufanyiwa edit ndio uchezwe radioni au kwenye tamasha lolote hasa linalohusu kampeni za CCM
Polisi walichunguza wakasema yule sio GwajimaNani WA kuthibitisha sasa?
Nani alilia?Kamtukana vipi wakati ni ukweli? kama unabisha kamuulize Mbasha alilia kama mtoto.
Hahaa, Ina maana hujawahi kuisikiaBila video ya miuno ya gwajiboy na uno la Kondeboy huu uzi ni umbeya tu
Hahaa, Ina maana hujawahi kuisikia
Mkareeeesema one, two, three four - UNOO - ha ha ha uno la GwajiBOY siyo!! Ila bana tusema ukweli tu kwamba yule mtoto alikuwa ni mkali balaaa!!