Uchaguzi 2020 Kwanini CCM hawamkemei Harmonize kumtukana Gwajima kila mara, tena mbele ya Magufuli?


Ni kweli kabisa. Tatizo hawa watu wanezoea kuimba matusi mpaka wamekosa breaki. Lazima abadilishe
 
Kamtukana vipi wakati ni ukweli? kama unabisha kamuulize Mbasha alilia kama mtoto.
 
Bila video ya miuno ya gwajiboy na uno la Kondeboy huu uzi ni umbeya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…