MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
hili swali limekuwa linanitatiza sana...na pengine ndio maana wengine wanakiita CCM ni chama cha mafissadi...
kwanini kama wanachama wake wametajwa kwenye kashfa mbalimbali za ufisadi wasiwasimamishe uwanachama au hata kuwatoa katika nafasi za uongozi tu....kama mpaka kesi imefika mahakamio inamaana DPP amejiridhiza kuwa ipo kesi, na kama imefikia mtu akajiuzulu mwenyewe kwa kashfa zinazimkabili ina maana amekubali kuwajibika kwa kiasi fulani..sasa kwanini CCM haiwawajibishi hawa watu...
1. Chenge...pamoja na kutajwa kuhusika na rushwa ya radr bado ni kiongozi ndani ya CCM na ubunge..
2. Rostam Aziz...anatajwa sana na kashfa za richmond/dowans, kagoda..bado ni mjumbe muhimu wa chama na mbunge...
3. Edward lowasa....pamoja na kujiuzulu kwa kuhusishwa na richmond bado ni mbunge na mjumbe muhimu wa chama, tena ana mamlaka makubwa kwenye chama maana kuna hata dalili za kumzidi mwenyekiti wake maamuzi...
4. basili mramba...pamoja na kuburutwa madarakani,bado ni mbunge wa chama na mjumbe pia...
you can add to the list....
hili suala ndio litakalo mharibia JK mwakani kama asipofanya uamuzi..tena hawa watu wanajeuri ya kupanga kumvua uwanachama mtu kama SPIKA SITA...tena na mwenyekiti akaruhusu hili...kwanini NEC haijawahi kujadiri majina ya masifadi na kutoa tamko????
kuna mahusiano makubwa kati ya ufisadi na CCM....sio siri sasa hivi hata watoto wanajua na ndio kamba tutayowanyonga nayo hii...
...hata mjomba alisema...ukiona vipi timua wote, kwani kuanza upya sio issue...
kwanini kama wanachama wake wametajwa kwenye kashfa mbalimbali za ufisadi wasiwasimamishe uwanachama au hata kuwatoa katika nafasi za uongozi tu....kama mpaka kesi imefika mahakamio inamaana DPP amejiridhiza kuwa ipo kesi, na kama imefikia mtu akajiuzulu mwenyewe kwa kashfa zinazimkabili ina maana amekubali kuwajibika kwa kiasi fulani..sasa kwanini CCM haiwawajibishi hawa watu...
1. Chenge...pamoja na kutajwa kuhusika na rushwa ya radr bado ni kiongozi ndani ya CCM na ubunge..
2. Rostam Aziz...anatajwa sana na kashfa za richmond/dowans, kagoda..bado ni mjumbe muhimu wa chama na mbunge...
3. Edward lowasa....pamoja na kujiuzulu kwa kuhusishwa na richmond bado ni mbunge na mjumbe muhimu wa chama, tena ana mamlaka makubwa kwenye chama maana kuna hata dalili za kumzidi mwenyekiti wake maamuzi...
4. basili mramba...pamoja na kuburutwa madarakani,bado ni mbunge wa chama na mjumbe pia...
you can add to the list....
hili suala ndio litakalo mharibia JK mwakani kama asipofanya uamuzi..tena hawa watu wanajeuri ya kupanga kumvua uwanachama mtu kama SPIKA SITA...tena na mwenyekiti akaruhusu hili...kwanini NEC haijawahi kujadiri majina ya masifadi na kutoa tamko????
kuna mahusiano makubwa kati ya ufisadi na CCM....sio siri sasa hivi hata watoto wanajua na ndio kamba tutayowanyonga nayo hii...
...hata mjomba alisema...ukiona vipi timua wote, kwani kuanza upya sio issue...