Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Viongozi wa Dart wanadai kuondolewa kwa mfumo wa kadi za malipo vituo vya mwendokasi yalikuwa maazimio ya chama na serikali na kwamba mifumo hiyo iliondolewa kwa lengo la kuwanufaisha watu fulani.
Baada ya mifumo hiyo kuondolewa iliamuliwa makampuni ya ulinzi wakiwemo vijana wa jkt waanze kulinda vituo na marungu huku wahudumu wakipewa kazi za kuchana tiketi kwa mikono
Kupitia maamuzi hayo ilipendekezwa pia miradi mpya wa Mbagala na huko Mbezi wasijenge miundombinu ya ukatishaji tiketi kwani mifumo hiyo itawapunguxia ulaji wakubwa
Nakubali hizi ni mbinu nzuri za kula fedha za umma ila najiuliza nani ananufaika? Nasikia pia sasa hivi kampuni umekatazwa kununua mabasi mapya badala yake ANATAFUTWA MGENI WAKUJA KUKUSANYA MAPATO KWENYE VITUO AMBAVYO VIMEJENGWA KWA KODI WATANZANIA
Inshort mkakati uliopo ni kuwafanya watanzania kuwa vibarua wa wageni kwenye miradi hii
Nani katuloga?
Baada ya mifumo hiyo kuondolewa iliamuliwa makampuni ya ulinzi wakiwemo vijana wa jkt waanze kulinda vituo na marungu huku wahudumu wakipewa kazi za kuchana tiketi kwa mikono
Kupitia maamuzi hayo ilipendekezwa pia miradi mpya wa Mbagala na huko Mbezi wasijenge miundombinu ya ukatishaji tiketi kwani mifumo hiyo itawapunguxia ulaji wakubwa
Nakubali hizi ni mbinu nzuri za kula fedha za umma ila najiuliza nani ananufaika? Nasikia pia sasa hivi kampuni umekatazwa kununua mabasi mapya badala yake ANATAFUTWA MGENI WAKUJA KUKUSANYA MAPATO KWENYE VITUO AMBAVYO VIMEJENGWA KWA KODI WATANZANIA
Inshort mkakati uliopo ni kuwafanya watanzania kuwa vibarua wa wageni kwenye miradi hii
Nani katuloga?