The Shah of Tanganyika
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 602
- 1,572
Baada ya kukataliwa na wasomi pamoja na wachambuzi wengi wengi waliousoma mkataba wa DP World, tumeshuhudia CCM ikikaa kikao ghafla ghafla na kuamua kwenda kutoa elimu kuhusu huu mkataba mbovu kuliko mikataba yote ya nchi hii.
CCM iliamua kuanzia kampeni zake vijijini huko mikoa ya kusikokuwa na binadamu wanaojua kusoma mambo magumu ya vifungu vya mikataba.
Pia tumeshuhudia wao CCM badala ya kuwaelimisha na kuwasomea hao wananchi vifungu vya huu mkataba, wao wameamua kuwaelezea propaganda kuwa mama Samia ana sura nzuri pamoja na upuuzi mwingine usiohusiana na mikataba.
Tujiulize ni kwanini CCM wameamua hayo? Kwanini wasitembee na mkataba wenyewe na kuwasomea wananchi vifungu vilivyoandikwa kwenye mkataba?
Kwanini wameamua kuanzisha kampeni kwa watu wasioelewa maana ya mikataba?
CCM iliamua kuanzia kampeni zake vijijini huko mikoa ya kusikokuwa na binadamu wanaojua kusoma mambo magumu ya vifungu vya mikataba.
Pia tumeshuhudia wao CCM badala ya kuwaelimisha na kuwasomea hao wananchi vifungu vya huu mkataba, wao wameamua kuwaelezea propaganda kuwa mama Samia ana sura nzuri pamoja na upuuzi mwingine usiohusiana na mikataba.
Tujiulize ni kwanini CCM wameamua hayo? Kwanini wasitembee na mkataba wenyewe na kuwasomea wananchi vifungu vilivyoandikwa kwenye mkataba?
Kwanini wameamua kuanzisha kampeni kwa watu wasioelewa maana ya mikataba?