Kwanini CCM imeamua kumdhalilisha Wasira?

Kwanini CCM imeamua kumdhalilisha Wasira?

Nawaza jamaa yupo kwenye mdaharo, mtangazaji anasema sasa, ni zamu yako mzee wasira, unasikia nkroookhroooo na udenda juu!!
Uyo mzee Yuko Makini sema hii Nchi Ina Siasa za maji taka.
Uyo mzee ana ujuzi wa kuongea sio kitu unakipata kwa kusoma darasani ni Kitu Gifted Sasa kuweza kupambana naye unatakiwa na wewe uwe unacho icho kipawa.

Kuna vitu huvipati kwa kusoma au kutembea Sana ni zawadi tu Mungu amekupa.
 
CCM kutuletea babu ajibizane na wajukuu zake ni kumkosea adabu.
.afu mbaya zaidi babu kaja na speed ya maneno yasiyofaa, wajukuu zake wakimjibu vibaya ataona kana kwamba wanamkosea adabu.
.
CCM mwambieni babu yenu awe na break ya mdomo vingivevyo awe tayari kwa mashambulizi front, right, back and centre....wajukuu zake hawatajali umri alionao
 
Binadamu yeyote ana hatua anazopitia, na watu hutofautiana namba wanavyozipitia hatua hizo na wakati wa kuzifikia.

Kuna watu huzeeka mapema na wengine huchelewa.

Lakini la muhimu zaidi ni kuwa kuna watu wanazeeka miili na mwonekano wa nje lakini akili zao hubakia kuwa Super. Mfano mzuri wa watu wa namna hiyo, kwa hapa nchini petu ni Mzee Jaji JOSEPH SINDE WARIOBA. Huyu mzee, akili yake haijawahi kuteteleka, na anawazidi akili na uwezo wa kutafakari na kuchbua mambo, watu wengi sana, wazee na vijana.

Lakini kuna watu, kwa bahati mbaya kabisa, wanapozeeka miili, wanazeeka na akili zao. Na mfano mzuri sana wa watu wa namna hiyo hapa nchini petu ni Mzee WASIRA. Ishara mojawapo ya haraka ya kujua kuwa mtu anazeeka haraka akili, ni huyo mzee kusinzia wakati wote. Na hiyo hutokea kwa sababu kila tendo katika mwili huongozwa na ubongo. Hivyo ubongo unapochoka, mwili unakosa uongozi. Nyote ni mashahidi, WASIRA kwa sasa, ni ngumu sana kumaliza hata masaa mawili akiwa amekaa bila kusinzia.

Watu waliomsikiliza WASIRA siku za karibuni watakuwa wamemsikia jinsi alivyo mropokaji. Kuna wakati anatoa majibu ya hoja ambayo haipo, hiyo ina maana hana hata ule uwezo wa akili kuweza kujua hoja inayojadiliwa.

CCM inajua kuwa mzee WASIRA, hayupo katika utimamu wa akili. Kwa kuwa wanaujua ukweli huo, kwa nini wameamua kumpa umakamu wa mwenyekiti wa chama? Kwa kumpa hiyo nafasi, na kumwacha awe anaropoka kila wakati, kutawafanya wananchi wote wajue kuwa mzee WASIRA sasa hayupo kwenye utimamu wa akili. Je, kufanya hivyo kunalenga nini, zaidi ya kumdhalilisha mzee WASIRA?

CCM ilistahili kumsitiri WASIRA kuliko kumdhalilisha. Wapo watu, ambao kwa bahati mbaya wana wazazi wao waliozeeka kupindukia, wengine kiasi hata cha kujisaidia bila kujitambua, lakini ili kuwasitiri, wakati mwingine hulazimika kuwahifadhi ndani hasa kunapokuwa na wageni. Sasa, mbona CCM imekosa hata hekima hiyo ndogo?
Wamamtesa mzee wa watu.
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Inawezekana umeanza ku mfahamu Wasira hivi karibuni, Tatizo la kusinzia kwa Wasira ni la mda mrefu, yeye pamoja na waheshimiwa wengi tu Tangu akiwa Bungeni.
Ila kitu kimoja Nina uhakika Yuko vizuri, Katika watu wa CCM na Upinzani Katika Nchi hii.
Wasira ana uwezo mkubwa wa kushindana kwa hoja kuliko Wana Siasa wengi Tena bila Jazba Wala Chuki(Matusi)

Ata uyo Rais mstaafu Kikwete Ambaye anajitahidi kushindana kwa hoja bila Jazba, Bado Haijawahi kufikia uwezo wa uyo mzee Wasira katika kujenga na kutetea Hoja zake.

Kama Leo hii utatokea mdahalo wowote wa wanasiasa na Wasira akiwepo ni wachache Sana wanao weza ku mshinda Wasira katika kujenga na kutetea Hoja zake.

Uo mda mchache ambao hasi nzii ana uwezo wa kupambanua mambo kwa hoja kuliko asiye lala mwaka mzima.
Wasira hata alipokuwa kijana alikuwa ni mtu wa wastani katika ujengaji hoja.

Fikiria kule Bunda wilayani kwake ambako jamii yake huwa haiamini kabisa kuongozwa na mwanamke, lakini waliona ni aheri kuongozwa na mwanamke kuliko na Wasira, wakampiga chini kwenye ubunge.
 
Binadamu yeyote ana hatua anazopitia, na watu hutofautiana namba wanavyozipitia hatua hizo na wakati wa kuzifikia.

Kuna watu huzeeka mapema na wengine huchelewa.

Lakini la muhimu zaidi ni kuwa kuna watu wanazeeka miili na mwonekano wa nje lakini akili zao hubakia kuwa Super. Mfano mzuri wa watu wa namna hiyo, kwa hapa nchini petu ni Mzee Jaji JOSEPH SINDE WARIOBA. Huyu mzee, akili yake haijawahi kuteteleka, na anawazidi akili na uwezo wa kutafakari na kuchbua mambo, watu wengi sana, wazee na vijana.

Lakini kuna watu, kwa bahati mbaya kabisa, wanapozeeka miili, wanazeeka na akili zao. Na mfano mzuri sana wa watu wa namna hiyo hapa nchini petu ni Mzee WASIRA. Ishara mojawapo ya haraka ya kujua kuwa mtu anazeeka haraka akili, ni huyo mzee kusinzia wakati wote. Na hiyo hutokea kwa sababu kila tendo katika mwili huongozwa na ubongo. Hivyo ubongo unapochoka, mwili unakosa uongozi. Nyote ni mashahidi, WASIRA kwa sasa, ni ngumu sana kumaliza hata masaa mawili akiwa amekaa bila kusinzia.

Watu waliomsikiliza WASIRA siku za karibuni watakuwa wamemsikia jinsi alivyo mropokaji. Kuna wakati anatoa majibu ya hoja ambayo haipo, hiyo ina maana hana hata ule uwezo wa akili kuweza kujua hoja inayojadiliwa.

CCM inajua kuwa mzee WASIRA, hayupo katika utimamu wa akili. Kwa kuwa wanaujua ukweli huo, kwa nini wameamua kumpa umakamu wa mwenyekiti wa chama? Kwa kumpa hiyo nafasi, na kumwacha awe anaropoka kila wakati, kutawafanya wananchi wote wajue kuwa mzee WASIRA sasa hayupo kwenye utimamu wa akili. Je, kufanya hivyo kunalenga nini, zaidi ya kumdhalilisha mzee WASIRA?

CCM ilistahili kumsitiri WASIRA kuliko kumdhalilisha. Wapo watu, ambao kwa bahati mbaya wana wazazi wao waliozeeka kupindukia, wengine kiasi hata cha kujisaidia bila kujitambua, lakini ili kuwasitiri, wakati mwingine hulazimika kuwahifadhi ndani hasa kunapokuwa na wageni. Sasa, mbona CCM imekosa hata hekima hiyo ndogo?
Imdhalilishe mara ngapi wakati alidhalilika hata kabla ya kuzaliwa? Heri umakamu wa mwenyekiti wangempa mbuzi kuliko wahasira.
 
Lakini la muhimu zaidi ni kuwa kuna watu wanazeeka miili na mwonekano wa nje lakini akili zao hubakia kuwa Super. Mfano mzuri wa watu wa namna hiyo, kwa hapa nchini petu ni Mzee Jaji JOSEPH SINDE WARIOBA. Huyu mzee, akili yake haijawahi kuteteleka, na anawazidi akili na uwezo wa kutafakari na kuchbua mambo, watu wengi sana, wazee na vijana.
Uko sahihi ushahidi huu hapa
 
CCM inajua kuwa mzee WASIRA, hayupo katika utimamu wa akili. Kwa kuwa wanaujua ukweli huo, kwa nini wameamua kumpa umakamu wa mwenyekiti wa chama? Kwa kumpa hiyo nafasi, na kumwacha awe anaropoka kila wakati, kutawafanya wananchi wote wajue kuwa mzee WASIRA sasa hayupo kwenye utimamu wa akili. Je, kufanya hivyo kunalenga nini, zaidi ya kumdhalilisha mzee WASIRA?
Ni zaidi ya Wasira kumbuka kauli za akina
  1. Makamba - "wazuri hawafi"
  2. Kikwete - "wachawi wote walishakufa"
Halafu fikiria mbaya zaidi kauli zinatolewa mbele ya wajane, unadhani ni watu timamu hao?
 
Binadamu yeyote ana hatua anazopitia, na watu hutofautiana namna wanavyozipitia hatua hizo na wakati wa kuzifikia.

Kuna watu huzeeka mapema na wengine huchelewa.

Lakini la muhimu zaidi ni kuwa kuna watu wanazeeka miili na mwonekano wa nje lakini akili zao hubakia kuwa Super. Mfano mzuri wa watu wa namna hiyo, kwa hapa nchini petu ni Mzee Jaji JOSEPH SINDE WARIOBA. Huyu mzee, akili yake haijawahi kuteteleka, na anawazidi akili na uwezo wa kutafakari na kuchbua mambo, watu wengi sana, wazee na vijana.

Lakini kuna watu, kwa bahati mbaya kabisa, wanapozeeka miili, wanazeeka na akili zao. Na mfano mzuri sana wa watu wa namna hiyo hapa nchini petu ni Mzee WASIRA. Ishara mojawapo ya haraka ya kujua kuwa mtu anazeeka haraka akili, ni huyo mzee kusinzia wakati wote. Na hiyo hutokea kwa sababu kila tendo katika mwili huongozwa na ubongo. Hivyo ubongo unapochoka, mwili unakosa uongozi. Nyote ni mashahidi, WASIRA kwa sasa, ni ngumu sana kumaliza hata masaa mawili akiwa amekaa bila kusinzia.

Watu waliomsikiliza WASIRA siku za karibuni watakuwa wamemsikia jinsi alivyo mropokaji. Kuna wakati anatoa majibu ya hoja ambayo haipo, hiyo ina maana hana hata ule uwezo wa akili kuweza kujua hoja inayojadiliwa.

CCM inajua kuwa mzee WASIRA, hayupo katika utimamu wa akili. Kwa kuwa wanaujua ukweli huo, kwa nini wameamua kumpa umakamu wa mwenyekiti wa chama? Kwa kumpa hiyo nafasi, na kumwacha awe anaropoka kila wakati, kutawafanya wananchi wote wajue kuwa mzee WASIRA sasa hayupo kwenye utimamu wa akili. Je, kufanya hivyo kunalenga nini, zaidi ya kumdhalilisha mzee WASIRA?

CCM ilistahili kumsitiri WASIRA kuliko kumdhalilisha. Wapo watu, ambao kwa bahati mbaya wana wazazi wao waliozeeka kupindukia, wengine kiasi hata cha kujisaidia bila kujitambua, lakini ili kuwasitiri, wakati mwingine hulazimika kuwahifadhi ndani hasa kunapokuwa na wageni. Sasa, mbona CCM imekosa hata hekima hiyo ndogo?
Kwani unaweza kuheshimu mambo ya umuhimu mkibwa pale unaposhindwa kuheshimu taratibu za msingi katika jamii au katika maisha?
 
Wivu tu! Ungelitoa mifano ya "alipoteteleka". Mzee Wassira ana ubongo mzuri kwa umri wake kuliko Lissu. Kama anaropoka kwa umri huu, piga picha alifikia umri wa Mzee Wassira itakuwaje! Ahahahahaha!!!
Umuonee wivu Wasira kabisa!!!!
 
Back
Top Bottom