Kwanini CCM imeamua kumdhalilisha Wasira?

Nawaza jamaa yupo kwenye mdaharo, mtangazaji anasema sasa, ni zamu yako mzee wasira, unasikia nkroookhroooo na udenda juu!!
Uyo mzee Yuko Makini sema hii Nchi Ina Siasa za maji taka.
Uyo mzee ana ujuzi wa kuongea sio kitu unakipata kwa kusoma darasani ni Kitu Gifted Sasa kuweza kupambana naye unatakiwa na wewe uwe unacho icho kipawa.

Kuna vitu huvipati kwa kusoma au kutembea Sana ni zawadi tu Mungu amekupa.
 
CCM kutuletea babu ajibizane na wajukuu zake ni kumkosea adabu.
.afu mbaya zaidi babu kaja na speed ya maneno yasiyofaa, wajukuu zake wakimjibu vibaya ataona kana kwamba wanamkosea adabu.
.
CCM mwambieni babu yenu awe na break ya mdomo vingivevyo awe tayari kwa mashambulizi front, right, back and centre....wajukuu zake hawatajali umri alionao
 
Wamamtesa mzee wa watu.
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Wasira hata alipokuwa kijana alikuwa ni mtu wa wastani katika ujengaji hoja.

Fikiria kule Bunda wilayani kwake ambako jamii yake huwa haiamini kabisa kuongozwa na mwanamke, lakini waliona ni aheri kuongozwa na mwanamke kuliko na Wasira, wakampiga chini kwenye ubunge.
 
Imdhalilishe mara ngapi wakati alidhalilika hata kabla ya kuzaliwa? Heri umakamu wa mwenyekiti wangempa mbuzi kuliko wahasira.
 
Uko sahihi ushahidi huu hapa
Your browser is not able to display this video.
 
Ni zaidi ya Wasira kumbuka kauli za akina
  1. Makamba - "wazuri hawafi"
  2. Kikwete - "wachawi wote walishakufa"
Halafu fikiria mbaya zaidi kauli zinatolewa mbele ya wajane, unadhani ni watu timamu hao?
 
Kwani unaweza kuheshimu mambo ya umuhimu mkibwa pale unaposhindwa kuheshimu taratibu za msingi katika jamii au katika maisha?
 
Wivu tu! Ungelitoa mifano ya "alipoteteleka". Mzee Wassira ana ubongo mzuri kwa umri wake kuliko Lissu. Kama anaropoka kwa umri huu, piga picha alifikia umri wa Mzee Wassira itakuwaje! Ahahahahaha!!!
Umuonee wivu Wasira kabisa!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…