Kwanini CCM ina nguvu sehemu zenye umaskini wa fikra na mali?

Kwanini CCM ina nguvu sehemu zenye umaskini wa fikra na mali?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
CCM inazidi kukosa nguvu kwenye majiji na makao makuu ya miji; hakuna mtu anayevaa kofia na t-shirt kama ishara ya uzalendo tena....wazee nao wamepungua kwa kasi huku idadi ya vijana ikiongezeka.

Idadi kubwa ya vijana wanahama kutoka maeneo yasiyo na ajira na kukimbilia mijini. Dar es salaam pekee kuna wapiga kura zaidi ya milion nne jambo ambalo nitishio kubwa sana kwa asiyekubalika mjini.

Endapo vyama vya upinzani watafanya mambo mawili wataendelea kuiondoa kabisa CCM mijini;
1. Watashawishi vijana kujiandikisha kupiga kura
2. Watashawishi vijana kupiga kura na kulinda

Basi upo uwezekano mkubwa kufikia 2025 vijana wakaamua hatima ya nchi hii

Swali ; je vijana wapo tayari kushiriki siasa?
 
CCM inazidi kukosa nguvu kwenye majiji na makao makuu ya miji; hakuna mtu anayevaa kofia na t-shirt kama ishara ya uzalendo tena....wazee nao wamepungua kwa kasi huku idadi ya vijana ikiongezeka.

Idadi kubwa ya vijana wanahama kutoka maeneo yasiyo na ajira na kukimbilia mijini. Dar es salaam pekee kuna wapiga kura zaidi ya milion nne jambo ambalo nitishio kubwa sana kwa asiyekubalika mjini.

Endapo vyama vya upinzani watafanya mambo mawili wataendelea kuiondoa kabisa CCM mijini;
1. Watashawishi vijana kujiandikisha kupiga kura
2. Watashawishi vijana kupiga kura na kulinda

Basi upo uwezekano mkubwa kufikia 2025 vijana wakaamua hatima ya nchi hii

Swali ; je vijana wapo tayari kushiriki siasa?
Huko mjini mliko na nguvu mna wabunge na madiwani wangapi,tuanzie hapo

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
CCM inazidi kukosa nguvu kwenye majiji na makao makuu ya miji; hakuna mtu anayevaa kofia na t-shirt kama ishara ya uzalendo tena....wazee nao wamepungua kwa kasi huku idadi ya vijana ikiongezeka.

Idadi kubwa ya vijana wanahama kutoka maeneo yasiyo na ajira na kukimbilia mijini. Dar es salaam pekee kuna wapiga kura zaidi ya milion nne jambo ambalo nitishio kubwa sana kwa asiyekubalika mjini.

Endapo vyama vya upinzani watafanya mambo mawili wataendelea kuiondoa kabisa CCM mijini;
1. Watashawishi vijana kujiandikisha kupiga kura
2. Watashawishi vijana kupiga kura na kulinda

Basi upo uwezekano mkubwa kufikia 2025 vijana wakaamua hatima ya nchi hii

Swali ; je vijana wapo tayari kushiriki siasa?
Huu ujinga mtauacha lini? Kuna Jiji lolote au mji wenye Mbunge wa Upinzani? Labda kama mtapata kura Ubeleji kwa mashoga wenzenu!
 
Huko mjini mliko na nguvu mna wabunge na madiwani wangapi,tuanzie hapo

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
FB_IMG_1575390806699.jpg
FB_IMG_1575390792397.jpg
FB_IMG_1575390800494.jpg
 
Huu ujinga mtauacha lini? Kuna Jiji lolote au mji wenye Mbunge wa Upinzani? Labda kama mtapata kura Ubeleji kwa mashoga wenzenu!
Mama yenu samia huwa anaenda kukopa kwa mashoga ubeligji na marekani au hujui muulize mamayenu kwanini amekopa kwa hayo mashoga au hapo lumumba ameshawaletea ushoga ndio maana chongolo ametepeta kufanya mikutano kumbe anasumbuliwa na ushoga huku wanaume wakikanyaga twende, leo furahisha imetapika pamoja na lile igizo lenu fake la dayamond aka domo.
 
CCM inazidi kukosa nguvu kwenye majiji na makao makuu ya miji; hakuna mtu anayevaa kofia na t-shirt kama ishara ya uzalendo tena....wazee nao wamepungua kwa kasi huku idadi ya vijana ikiongezeka.

Idadi kubwa ya vijana wanahama kutoka maeneo yasiyo na ajira na kukimbilia mijini. Dar es salaam pekee kuna wapiga kura zaidi ya milion nne jambo ambalo nitishio kubwa sana kwa asiyekubalika mjini.

Endapo vyama vya upinzani watafanya mambo mawili wataendelea kuiondoa kabisa CCM mijini;
1. Watashawishi vijana kujiandikisha kupiga kura
2. Watashawishi vijana kupiga kura na kulinda

Basi upo uwezekano mkubwa kufikia 2025 vijana wakaamua hatima ya nchi hii

Swali ; je vijana wapo tayari kushiriki siasa?
UKITAKA KUTAWALA WAPE KWANZA UMASIKINI watakulamba mpaka visigino CCM imewafanya Wananchi Masikini ili iwatawale
 
CCM inazidi kukosa nguvu kwenye majiji na makao makuu ya miji; hakuna mtu anayevaa kofia na t-shirt kama ishara ya uzalendo tena....wazee nao wamepungua kwa kasi huku idadi ya vijana ikiongezeka.

Idadi kubwa ya vijana wanahama kutoka maeneo yasiyo na ajira na kukimbilia mijini. Dar es salaam pekee kuna wapiga kura zaidi ya milion nne jambo ambalo nitishio kubwa sana kwa asiyekubalika mjini.

Endapo vyama vya upinzani watafanya mambo mawili wataendelea kuiondoa kabisa CCM mijini;
1. Watashawishi vijana kujiandikisha kupiga kura
2. Watashawishi vijana kupiga kura na kulinda

Basi upo uwezekano mkubwa kufikia 2025 vijana wakaamua hatima ya nchi hii

Swali ; je vijana wapo tayari kushiriki siasa?
Sasa nani anaejitambua anakubali sound? Mtaji wao always ni wavijijin ndan ndan na wasiojielewa!!
 
Back
Top Bottom