johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya CHADEMA
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?🐼
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?🐼