Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaa ! Ndivyo ilivyo, msema kweli ni mpenzi wa Mungu .Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe
Mfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya CHADEMA
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?🐼
Humu ndani wanaume wengi wanajua kwamba Mwanamke/demu anakuwaga mgumu sana kuingia kingi katika hatua za awali za kumchombeza. Ukisha mchakata tu,, analainika kama sehemu zake za siri na yeye ndio anaanza kukufuatilia kila corner hadi kero.Mfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya CHADEMA
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?🐼
Sababu zipo wazi ni dau ...vyama vingine dau lao ni pesa ya mbuzi tu ila jadema yupo muhuni mbowe yeye snstaka kuongwa pesa si choni ya mil 800 kwenda juu ...wakati zito kabwe skipewa mil 20 tu anakwenda kwa sangoma kumshukuru ...tundu lissu yeye dau lake nilazima ziwe dola za marekani tena kuanzia dola 500000 zaidi ya tsh mil 1800 huko tofauti yao hipo hapo tuMfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya CHADEMA
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?🐼
Kuamini Chadema huwa inashinda ni mojawapo ya komedi zinazopatikana Bongo tu!Kwasababu wanajua wako madarakani sio kutokana na kura za wananchi, bali ni kutona na uoga wa wananchi kukaa kimya kila mara kura za cdm zinapoporwa.
Siamini kama cdm huwa inashinda, lakini nahitaji kuwa mjinga sana kuamini ushindi ccm wanaotangazwa nao ndio uhalisia wa kura😂Kuamini Chadema huwa inashinda ni mojawapo ya komedi zinazopatikana Bongo tu!
Ahahahahaha!!!Siamini kama cdm huwa inashinda, lakini nahitaji kuwa mjinga sana kuamini ushindi ccm wanaotangazwa nao ndio uhalisia wa kura😂
Sijatukana hata niwameamua chademaUkitukana ni lazima Ban ikufikie !
Anayetaka matusi anaenda zake X au Fesi buku !
KabisaYohana huwa ni mwezi nchanga yakhee!!, 😂
Atakuwa kanunuliwaUkiona hivyo leo kanywa beer tupu akichanganya na visungura ndiyo huwa anatoa boko.
Kuna chawa sugu @TlaltaaMfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya CHADEMA
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?🐼
Amos makala na Kunenge kumbe walikuwa mapedejee ujanani?Pedeshee Amosi Makalla hazingumzii Chama kingine chochote zaidi ya Chadema.
Hata vyama fulani vinavyo jiita vya upinzani huvalishawa suti na kuitiwa press kuikashifu Chadema vikiongozwa na ADC, Demokrasia Makini ,Ford,Labour party na vyama vya Cheyo na Shibuda
Mimi katika suala la kusema kwamba vyama pinzani au hao raia wanajiteka au kuumizana wenyewe huwa naona ni sawa na kudharau idara zetu za ulinzi na usalama.Hivyo sipendagi kabsaa kufikiri wala kuamini hivyo.Hii ni kutokana na mazingira wanayokutwa/kukamatwa hao wahanga.Kwa mfano mtu kukamatwa kwenye gari lenye abiria maanake amedharau polisi yetu kwamba hawawezi kumfanya lolote.Pili isue ya tundu Lisu kama ni watu wahuni wahuni tuu waliofanya vile walitudharau mfumo wetu wa ulinzi kwa kiasi gani!?.CHADEMA wanahatarisha usalama wa Taifa kwa kuhamasisha vurugu na kutekeleza matukio ya kutekana wao kwa wao kisha kuisingizia Serikali ili wapate huruma kutoka mataifa ya nje, kama alivyoeleza Dk. Slaa.
Kauli zao za kushinikiza kutotii sheria na kuzusha hofu miongoni mwa raia ni mfano wa vitendo vinavyotishia amani.
CCM, kama chama tawala, inalinda amani na umoja kwa kuhakikisha sheria zinafuatwa na kuhimiza mijadala ya kisiasa isiyo hatarisha usalama wa nchi.
Baba wa Taifa, Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliwahi kusema kwa msisitizo kuwa "Bila CCM imara nchi yetu itayumba," hivyo basi ili nchi isiyumbe tuendelee kuiombea CCM izidi kuwa imara.
Hakuna upinzaninTz ni saccoss za rudhuku,watu hawana a,b,c hawana plan B,what do you expect,ina haja gani mnakuwa na mavyama mfu kibao,ni Bora kungekua na mlengo wa kushoto na wa kulia,njaa itatuuaMfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya CHADEMA
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?🐼