johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Leo naona umekunywa dawa nzuri snMfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya Chadema
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa Chadema iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini Chadema?!!πΌ
Hao wengine itakuwa wanalipwa kwa namna fulani si bure. Wanalipwa kufanywa MACHAWA wa kuwatafutia kura huku wakijionyesha kama wapinzani. Mfano Chadema waliposusia uchaguzi wao wanatumiwa ionekane vyama vya upinzani vinashiriki uchaguzi.Mfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya Chadema
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa Chadema iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini Chadema?!!πΌ
Ukiona hivyo leo kanywa beer tupu akichanganya na visungura ndiyo huwa anatoa boko.Leo naona umekunywa dawa nzuri sn
Yohana huwa ni mwezi nchanga yakhee!!, πLeo naona umekunywa dawa nzuri sn
Naam. Ewaaa.Mfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya CHADEMA
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?πΌ
Matawi yao tena wanazo namba A,B,C,D...Mfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya CHADEMA
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?πΌ
Nadhani hayo mashavu yake huenda ana ugonjwa wa meno, maumivu yakizidi anaanza kuropoka hovyoSlaa huwa anatishia akirushiwa mfupa anahamisha mashambulizi..
The old man should rest ..
Na wameandaa akina Luca,Choice na wenzake akina Tlaahtlaaah kuyasemea na kuyalinda maslahi yao.Naam. Ewaaa.
CHADEMA inawakilisha hisia halisi za dhati za Watanzania wengi ikiwa ni pamoja na walioko CCM.Mfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya CHADEMA
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?πΌ
CHADEMA wanahatarisha usalama wa Taifa kwa kuhamasisha vurugu na kutekeleza matukio ya kutekana wao kwa wao kisha kuisingizia Serikali ili wapate huruma kutoka mataifa ya nje, kama alivyoeleza Dk. Slaa.Mfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya CHADEMA
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?πΌ
Mfano mzuri ni huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa huwezi kukuta CCM au hata Chawa wake akina Lucas, Choicevariable na Mchungaji Msigwa wakivizungumzia Vyama vingine zaidi ya CHADEMA
Tumeambiwa na Daktari Slaa kuwa CHADEMA iko ICU lakini mbona CCM bado inahangaika nao usiku na Mchana
CCM haijishughulishi Kabisa na ACT Wazalendo, CUF, TLP, Nccr wala Tule tuvyama twingine tudogodogo
Kwanini CHADEMA?πΌ
Ukitukana ni lazima Ban ikufikie !Nimepigwa ban kosa ni meisema chadema meaning humu hadi bossy mi chadema