Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,608
1. Ina Watu wengi wenye mvuto.
Hapa Unaweza kuona ambayo mtu kama Mwana FA anaweza kukusanya watu sawa na anaokusanya Lissu kwenye miji mikubwa. Sijui kama Salum Mwalimu atembee bila Lissu kama atapata watu tofauti na mtu kama Majaliwa, Mama Samia. Nk
Hizi kampeni za CHADEMA viongozi wote wako sehemu moja tena mkutano mmoja kwa siku, Tanzania ni kubwa sana
2. CCM wana details za ndani za vijiji na miji kwamba kuna shida zipi za kutatuliwa na miradi inayoendelea kwa sehemu husika wanapokuwa wakati huo.
3. CCM inaonekana kuwa imejiandaa kwa Uchaguzi angalia mtiririko wa Kampeni hakirukwi kijiji.
Nitaendelea kutoa sababu zaidi, ila ngoje nione maana uhuru wa kutoa maoni hapa upo ila yakiwa tofauti na upinzani thread inaunganishwa na nyingine ndio unakuwa umepotea.
Hapa Unaweza kuona ambayo mtu kama Mwana FA anaweza kukusanya watu sawa na anaokusanya Lissu kwenye miji mikubwa. Sijui kama Salum Mwalimu atembee bila Lissu kama atapata watu tofauti na mtu kama Majaliwa, Mama Samia. Nk
Hizi kampeni za CHADEMA viongozi wote wako sehemu moja tena mkutano mmoja kwa siku, Tanzania ni kubwa sana
2. CCM wana details za ndani za vijiji na miji kwamba kuna shida zipi za kutatuliwa na miradi inayoendelea kwa sehemu husika wanapokuwa wakati huo.
3. CCM inaonekana kuwa imejiandaa kwa Uchaguzi angalia mtiririko wa Kampeni hakirukwi kijiji.
Nitaendelea kutoa sababu zaidi, ila ngoje nione maana uhuru wa kutoa maoni hapa upo ila yakiwa tofauti na upinzani thread inaunganishwa na nyingine ndio unakuwa umepotea.