Pre GE2025 Kwanini CCM mnapenda kufanyia mikutano ya Katibu Mkuu wa Chama eneo la stendi ya mabasi?

Pre GE2025 Kwanini CCM mnapenda kufanyia mikutano ya Katibu Mkuu wa Chama eneo la stendi ya mabasi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Inasikitisha sana, Katibu Mkuu wa chama tawala kupelekwa stand ya mabasi kufanya mkutano na kusikiliza kero za wananchi.

CCM ni kikubwa na kina miaka zaidi ya 40, kwanini kifanyie mkutano stendi ya mabasi?

Wamekosa uwanja wa kufanyia mkutano huo?

Kuna siri kubwa inafichwa na viongozi wa chama mkoa kuupeleka mkutano huo stand?

Tunashauri utafute uwanja mkubwa, viti na mahema yawekwe ili watu wasikilizwe kero wakiwa eneo lililotulia na lenye utulivu.

Stand ya mabasi hapana, tena ni udhalilishaji mkubwa.

 
Inasikitisha sana, Katibu Mkuu wa chama tawala kupelekwa stand ya mabasi kufanya mkutano na kusikiliza kero za wananchi.

CCM ni kikubwa na kina miaka zaidi ya 40, kwanini kifanyie mkutano stendi ya mabasi?

Wamekosa uwanja wa kufanyia mkutano huo?

Kuna siri kubwa inafichwa na viongozi wa chama mkoa kuupeleka mkutano huo stand?

Tunashauri utafute uwanja mkubwa, viti na mahema yawekwe ili watu wasikilizwe kero wakiwa eneo lililotulia na lenye utulivu.

Stand ya mabasi hapana, tena ni udhalilishaji mkubwa.

Kwani mnapoandamana pia si mnapita humohumo?
 
Inasikitisha sana, Katibu Mkuu wa chama tawala kupelekwa stand ya mabasi kufanya mkutano na kusikiliza kero za wananchi.

CCM ni kikubwa na kina miaka zaidi ya 40, kwanini kifanyie mkutano stendi ya mabasi?

Wamekosa uwanja wa kufanyia mkutano huo?

Kuna siri kubwa inafichwa na viongozi wa chama mkoa kuupeleka mkutano huo stand?

Tunashauri utafute uwanja mkubwa, viti na mahema yawekwe ili watu wasikilizwe kero wakiwa eneo lililotulia na lenye utulivu.

Stand ya mabasi hapana, tena ni udhalilishaji mkubwa.

Hakukuwa na malori ya kubeba watu kutoka bush-countries warundikwe uwanjani.Stendi tayari zinakuwa na mikusanyiko ya wasafiri,wapiga debe,wachuuzi na watoto wanaochezacheza.Swali lingine muheshimiwa.
 
Ccm bila kufanyia mikutano stendi huwa wanaingia gharama kubwa sana ya kubeba watu.
 
Kama tumetawala zaidi ya miaka 40, huoni stand sio eneo rafiki la kumpeleka Katibu mkuu wa chama?
Ninashauri, Tena nikikazia kuwa eneo la stand hapana hapana.
Eneo Hilo sio rafiki kwa wajumbe na wanachama WA CCM Kwa sababu zifuatazo;

1. Hakuna vyoo salama na safi.

2. Vyoo vilivyopo,vilivyo salama ni vichache na hulipiwa fedha nyingi.

3. Eneo husika Lina vibska WA stand,Kuna wizi wa simu na fedha

4. Eneo Hilo hata katibu mwenezi
taifa,makonda, alifanyia hapo mkutano,wengi walikaa juani

5. Ni eneo ambalo sio rafiki,kwani wanachama wengi wanatumia fedha kwenda na kurudi mkutanoni.

6. Ni eneo lenye kelele za stand,hivyo sio eneo lenye utulivu wa kiutu uzima,kusikilizia kero za watu.

7. Eneo ni dogo, Lina kituo cha polisi,misijiti,makanisa,eneo Hilo Lina mambo mengi sana.

8. Eneo Hilo halina wapiga kura ,bali Lina watu wanaosafiri TU.

9. Ninashauri, kabla ya mkutano kuanza,chama kitembelee miradi yenye kero.

10. Stand ya mabasi haina eneo kama hii picha ilivyo ambapo wenye kero na shida,wanaweza kukaa na kuelezea dhida na matatizo yao.
 

Attachments

  • IMG-20240601-WA0011.jpg
    IMG-20240601-WA0011.jpg
    230.9 KB · Views: 3
Inasikitisha sana, Katibu Mkuu wa chama tawala kupelekwa stand ya mabasi kufanya mkutano na kusikiliza kero za wananchi.

CCM ni kikubwa na kina miaka zaidi ya 40, kwanini kifanyie mkutano stendi ya mabasi?

Wamekosa uwanja wa kufanyia mkutano huo?

Kuna siri kubwa inafichwa na viongozi wa chama mkoa kuupeleka mkutano huo stand?

Tunashauri utafute uwanja mkubwa, viti na mahema yawekwe ili watu wasikilizwe kero wakiwa eneo lililotulia na lenye utulivu.

Stand ya mabasi hapana, tena ni udhalilishaji mkubwa.

Jibu ni kwamba kwenye stendi za mabasi watu ni wengi, huwezi kukosa watu pale hata kama hawakusikilizi.
 
Inasikitisha sana, Katibu Mkuu wa chama tawala kupelekwa stand ya mabasi kufanya mkutano na kusikiliza kero za wananchi.

CCM ni kikubwa na kina miaka zaidi ya 40, kwanini kifanyie mkutano stendi ya mabasi?

Wamekosa uwanja wa kufanyia mkutano huo?

Kuna siri kubwa inafichwa na viongozi wa chama mkoa kuupeleka mkutano huo stand?

Tunashauri utafute uwanja mkubwa, viti na mahema yawekwe ili watu wasikilizwe kero wakiwa eneo lililotulia na lenye utulivu.

Stand ya mabasi hapana, tena ni udhalilishaji mkubwa.

 

Attachments

  • IMG-20240603-WA0039.jpg
    IMG-20240603-WA0039.jpg
    110.1 KB · Views: 3
Inasikitisha sana, Katibu Mkuu wa chama tawala kupelekwa stand ya mabasi kufanya mkutano na kusikiliza kero za wananchi.

CCM ni kikubwa na kina miaka zaidi ya 40, kwanini kifanyie mkutano stendi ya mabasi?

Wamekosa uwanja wa kufanyia mkutano huo?

Kuna siri kubwa inafichwa na viongozi wa chama mkoa kuupeleka mkutano huo stand?

Tunashauri utafute uwanja mkubwa, viti na mahema yawekwe ili watu wasikilizwe kero wakiwa eneo lililotulia na lenye utulivu.

Stand ya mabasi hapana, tena ni udhalilishaji mkubwa.

Hahaha..
Wanajua stendi ya mabasi watapata wasikilizaji wengi ambao ni wasafiri.

Kwenye uwanja uliojitenga wataambulia polisi, walimu na wanafunzi wanaohudhuria kwa shuruti
 
Inasikitisha sana, Katibu Mkuu wa chama tawala kupelekwa stand ya mabasi kufanya mkutano na kusikiliza kero za wananchi.

CCM ni kikubwa na kina miaka zaidi ya 40, kwanini kifanyie mkutano stendi ya mabasi?

Wamekosa uwanja wa kufanyia mkutano huo?

Kuna siri kubwa inafichwa na viongozi wa chama mkoa kuupeleka mkutano huo stand?

Tunashauri utafute uwanja mkubwa, viti na mahema yawekwe ili watu wasikilizwe kero wakiwa eneo lililotulia na lenye utulivu.

Stand ya mabasi hapana, tena ni udhalilishaji mkubwa.

Ccm ni chama Cha wazee, hivyo Ili ionekane ina vijana, inabidi ikafanyie mkutano stand maana ndio Kuna vijana kwa wingi. Pia mabasi ya kubeba wasikilizaji inakuwa rahisi kuonekana ni ya abiria wa kawaida hapo stand.
 
Back
Top Bottom