Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
Ukianzia na Bunge, UVCCM na baadhi ya makundi ya watu wachache hasa wanaccm wako mstari wa mbele kabisa kupaza sauti na kupambana Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibadilishwe ili tu kuweza kumpa Magufuli nafasi ya kuongoza kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitano.
Wengi wa wanaodai aongezewe muda wana sababu zao kwamba amefanya vizuri hivyo aendelee tu
Je, huko visiwani Zanzibar, Ali Mohamed Shein amefanya vibaya?
Kwanini huko nako asipigiwe kelele za kuongezewa muda ili uchaguzi wa mwaka huu apewe nafasi tena kama ambavyo huku bara imeaminishwa mkulu atalazimishwa baada ya 2025?
Wengi wa wanaodai aongezewe muda wana sababu zao kwamba amefanya vizuri hivyo aendelee tu
Je, huko visiwani Zanzibar, Ali Mohamed Shein amefanya vibaya?
Kwanini huko nako asipigiwe kelele za kuongezewa muda ili uchaguzi wa mwaka huu apewe nafasi tena kama ambavyo huku bara imeaminishwa mkulu atalazimishwa baada ya 2025?