joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimecheka kiboya aiseeJux anasapotiwa na wengi ila ana nini cha kumzidi hata aslay au ney wa mitego??
Wabongo wanapenda kubeba wagonjwa na maiti ila walio hai huachwa watembee wenyewe.
Sio kweli mkuu album ya v mbona aliisapot hata IG aliipost au sapoti ipi hiyoToa list ya wasanii ambao yeye anawasapoti lakini hawamsapoti....
Hata album ya vanessa tu aliichunia
unataka ajiunge na ao wasani uchwara waanze kumrisha UngaKiukweli Diamond ye huwa anachagua wa kuwapa support, kufupi anajitenga na wenzake.
Lazima tuelewe hilo we lini uliona maiti inatembea??? au wagonjwa walio hoi???Umeua mzee baba [emoji13] [emoji13]
Kwanza kabla hatujajibu swali lako ilibidi ujiulize kwanza na yeye anatoa support kwa wasanii wenzake?Nimekuwa nikifuatilia kazi nyingi sana anazifanya Fanya Diamond platnumz amekuwa hapati Support kubwa toka kwa wasanii wenzie na watu wengine maarufu tofauti na wasanii wengine Je hii ni kwanini??
Kazi nyingi Mashabiki na Team zake ndio wamekuwa wakimsaupport sana hata kupost kwenye mitandao mingi ya kijamii pamoja Na Ma Ex wake lakini watu wengine maarufu wamekuwa wazito sanaaa kumsupport Diamond Je ni kwanini???
Akitoa wimbo Jux support anayopata toka kwa wasaniii wenzie ni kubwaa kuliko anayopata Diamond akitoa wimbo. Mfano African Beauty Ni kama wasanii 10 au Chini ya hapoo Ndio walio post kazi hiyo hata album yake ni kama wasanii 8 tuu wamepost Je hii ni kwanini?
Watu wasio na Hoja ndio majibu yao tu "WIVU" ,Hivi Diamond watu wamuonee wivu kwa kipi hasa? Kuwa na Zari? Kumiliki Nyumba Madale? X6 ya Dili? Hivi kwa wasanii wenye mafanikio diamond yupo? Labda Mafanikio ya Kibongo......Hivi Ushawahi Kuona wasanii wenye mafanikio na mziki unawalipa kweli kweli? Pitia Profiles za Kina Diddy,Dr. Dre,Jay-Z etc uone investments zao achana hizo za Kuwekwa front na kina Kusaga,hapa nazungumzia investments za wasanii.....Diamond ameinvest kwenye STUDIO tu Wasafi hizo investiments Nyingine ni "MANJEGEKA MSINGI MANENO".Wanamwonea wivu vibaya mnoo