Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Mtoq mada hivi hapo ndiyo umefikiri kwa kutumia akili zako zote au umekodisha akili zako ili ufikiriwe na mtu mwingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani siku iyo mbege itanyewa na akina nanii?Nimekuwa najiuliza sana kuna nn Moshi hadi maandamano na vurugu za chadema zinafanyikiaga arusha, watu wa arusha mjiangalie sana.
This is cheap politics.
Mwenye afya hahitaji tatibuNimekuwa najiuliza sana kuna nn Moshi hadi maandamano na vurugu za chadema zinafanyikiaga arusha, watu wa arusha mjiangalie sana.
This is cheap politics.
Huko yalikofanyika yameleta athari gani kwa jamii kiasi cha wewe kutaka yafanyike na Moshi na siyo Kilimanjaro ? Inawezekana ulilenga hilo kwa vile Mbowe anatoka huko , ila Mbowe anatokea Hai siyo MoshiNimekuwa najiuliza sana kuna nn Moshi hadi maandamano na vurugu za chadema zinafanyikiaga arusha, watu wa arusha mjiangalie sana.
This is cheap politics.
Akili zako mbovu sana, moshi ni jiji???Nimekuwa najiuliza sana kuna nn Moshi hadi maandamano na vurugu za chadema zinafanyikiaga arusha, watu wa arusha mjiangalie sana.
This is cheap politics.
Tumia akili wee mbugila, moshi ni jiji?,Wanawapenda ndugu zao,hawataki wafe...hicho chama ni cha ukabila sana,wako tayari kuwauwa watu ambao sio wa kabila lao ili waendelee kuingiza pesa, hiyo kampuni liyovaa koti la kisiasa sio chama cha siasa...Sikia hoja zao za kitoto eti maandamano ya moshi yamefanyika Arusha,mtu atoke moshi aje afanye maandamano Arusha?Chadema wapuxbavu sana...mwaka 2015 kulikuwa na miemuko ya maandamano kutoka kwa wananchi takribani kila mkoa lakini fikiri moshi maandamano hayafanyika ila Arusha na mikoa mingine ilifanyika na watu wengi walikufa enzi hizo.
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sanaWanawapenda ndugu zao,hawataki wafe...hicho chama ni cha ukabila sana,wako tayari kuwauwa watu ambao sio wa kabila lao ili waendelee kuingiza pesa, hiyo kampuni liyovaa koti la kisiasa sio chama cha siasa...Sikia hoja zao za kitoto eti maandamano ya moshi yamefanyika Arusha,mtu atoke moshi aje afanye maandamano Arusha?Chadema wapuxbavu sana...mwaka 2015 kulikuwa na miemuko ya maandamano kutoka kwa wananchi takribani kila mkoa lakini fikiri moshi maandamano hayafanyika ila Arusha na mikoa mingine ilifanyika na watu wengi walikufa enzi hizo.
Maandamano hayajaanza leo, kila siku ni majiji?Naona amewapata msio na akili. Mnamwona ameuliza swali la maana.
Kumbe na wewe una akili ndogo kama mleta mada?
Maamuzi ilikuwa awamu ya kwanza maandamano yafanyike kwenye majiji. Moshi ni jiji?
Sio kweli👌Chadema HAINA wafuasi wengi Moshi.
Siku hizi jf Ina vichaa?Nimekuwa najiuliza sana kuna nn Moshi hadi maandamano na vurugu za chadema zinafanyikiaga arusha, watu wa arusha mjiangalie sana.
This is cheap politics.
Kojoa ukalaleWanawapenda ndugu zao,hawataki wafe...hicho chama ni cha ukabila sana,wako tayari kuwauwa watu ambao sio wa kabila lao ili waendelee kuingiza pesa, hiyo kampuni liyovaa koti la kisiasa sio chama cha siasa...Sikia hoja zao za kitoto eti maandamano ya moshi yamefanyika Arusha,mtu atoke moshi aje afanye maandamano Arusha?Chadema wapuxbavu sana...mwaka 2015 kulikuwa na miemuko ya maandamano kutoka kwa wananchi takribani kila mkoa lakini fikiri moshi maandamano hayafanyika ila Arusha na mikoa mingine ilifanyika na watu wengi walikufa enzi hizo.
Kwani wanaishi nzi pale ?hamna watu we mbugila?Tumia akili wee mbugila, moshi ni jiji?,
Kwa nini umesema Moshi?Nimekuwa najiuliza sana kuna nn Moshi hadi maandamano na vurugu za chadema zinafanyikiaga arusha, watu wa arusha mjiangalie sana.
This is cheap politics.