Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Kakojoe ulaleKwa hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakojoe ulaleKwa hiyo?
Kanye ulale.Kakojoe ulale
Kwani CHADEMA ilipomnunua Lowassa CCM ilikufa?
Zanzibar ni koloni la ccm,linahitajikukombolewaKatika sherehe za Uhuru wa Tanganyika uongozi wa Chadema ulikodi ndege ya kifahari kuelekea jijini Mwanza kushiriki maadhimisho hayo, tukawapongeza.
Leo tulitegemea kuwaona jijini Zanzibar lakini tukawaona Prof Lipumba, Mzee Shibuda na wengine bila uwepo wa Mbowe wala yule mzanzibari Salumu Mwalimu.
Kulikoni chama kikuu cha Upinzani?
Maendeleo hayana vyama!