saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
We hujui hata maana ya demokrasia. CHADOMO haina mgombea potential inaokoteza tu. Mbowe amekuwa m/kiti kwa miaka mingapi sasa. Kuliko unyimwe akili bora unyimwe maliNdo mkubali, CDM imewaacha mbali kidemokrasia.
Wao, Kila baada ya miaka 5 wanatuletea mgombea mpya na makaratasi yake.