Uchaguzi 2020 Kwanini CHADEMA hawakemei na kulaani vurugu na mauaji kipindi hiki cha kampeni?

Uchaguzi 2020 Kwanini CHADEMA hawakemei na kulaani vurugu na mauaji kipindi hiki cha kampeni?

Bill

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
9,258
Reaction score
10,014
Mauaji yametokea Njombe kijana Mlelwa kauawa Chadema hawajalaani au kutolea kauli kuwataka wanachama wao kuheshimu sheria za nchi na kanuni za uchaguzi ili kudumisha amani.

Mauaji pia yametokea Tunduma kijana akipigwa tofali hakuna tamko la Chadema.

Watu wamekatwa mapanga msikitini Zanzibar Chadema kama chama kikuu cha upinzani chenye ndoto kuongoza nchi bado kimeendelea kukaa kimya.

Tukirudi nyuma mauaji ya kibiti, Chadema hawakuwahi kutoa kauli yoyote kulaani wananchi kuuana au kuuliwa kwa viashiria vya mauaji ya kigaidi. Pengine walikebehi jitihada za serikali kupambana na mauaji hayo lakini pia walijitokeza haraka kuuliza walipo vijana washukiwa wa mauaji hayo.

Msimamo wa chadema katika masuala ya amani ya nchi hii ukoje? Kwa ujumla ukifuatilia hata kauli za kiongozi wao anaejaribu kuingia Ikulu unaashiria mitafaruku na uvunjifu wa amani. Itoshe tu kusema, Chadema wamekuwa wakiandaa matukio na kutoa kauli ambazo zitasababisha chuki kwa serikali na vyombo vyake mfano tukio la kuchoma ofisi yao Arusha, mabomu ya Tarime na uzushi wa mambo mengi ya uongo kama vile Uwanja wa Chato, ndege kutokukaguliwa na CAG na ununuzi wa ndege kutoidhinishwa na bunge na kubwa zaidi Rais Magufuli kuwaita Dodoma wakurugenzi wa Halmashauri kuwapa maelekezo ya kufanya wakati wa kupiga kura.

Haya yote ni viashiria ovu kwa mustakabali wa amani ya nchi kutoka chama kinachotaka kuingia Ikulu.

Je, kinataka kuharibu amani ya nchi kisha kikiingia madarakani kiirejeshe? Je, kinataka kujenga chuki na kuwagawa waTanzania wakati huu wa kampeni kisha kikiingia madarakani kianze kazi ya kuwaunganisha?

Kwa ujumla mwelekeo wa chadema kisipobadili msimamo wake katika masuala ya amani na umoja hakitafanikiwa kutwaa dola. Amiri Jeshi Mkuu wa nchi anatakiwa aonekana kuwa ni mtu mwenye nia thabiti kuhakikisha amani na mshikamano wa wananchi vinadumu ndipo hapo vitu kama uhuru wa kujiamulia mambo utakuwepo, haki itatendeka kwa kila mmoja na maendeleo.

Hauwezi kuwa na uhuru, haki na maendeleo katikati ya Vurugu na kukosa mshikamano yaani amani na utangamano wa nchi vikiwa havipo.
 
Mauaji yametokea Njombe kijana Mlelwa kauawa Chadema hawajalaani au kutolea kauli kuwataka wanachama wao kuheshimu sheria za nchi na kanuni za uchaguzi ili kudumisha amani.

Mauaji pia yametokea Tunduma kijana akipigwa tofali hakuna tamko la Chadema.

Watu wamekatwa mapanga msikitini Zanzibar Chadema kama chama kikuu cha upinzani chenye ndoto kuongoza nchi bado kimeendelea kukaa kimya.

Tukirudi nyuma mauaji ya kibiti, Chadema hawakuwahi kutoa kauli yoyote kulaani wananchi kuuana au kuuliwa kwa viashiria vya mauaji ya kigaidi. Pengine walikebehi jitihada za serikali kupambana na mauaji hayo lakini pia walijitokeza haraka kuuliza walipo vijana washukiwa wa mauaji hayo.

Msimamo wa chadema katika masuala ya amani ya nchi hii ukoje? Kwa ujumla ukifuatilia hata kauli za kiongozi wao anaejaribu kuingia Ikulu unaashiria mitafaruku na uvunjifu wa amani. Itoshe tu kusema, Chadema wamekuwa wakiandaa matukio na kutoa kauli ambazo zitasababisha chuki kwa serikali na vyombo vyake mfano tukio la kuchoma ofisi yao Arusha, mabomu ya Tarime na uzushi wa mambo mengi ya uongo kama vile Uwanja wa Chato, ndege kutokukaguliwa na CAG na ununuzi wa ndege kutoidhinishwa na bunge na kubwa zaidi Rais Magufuli kuwaita Dodoma wakurugenzi wa Halmashauri kuwapa maelekezo ya kufanya wakati wa kupiga kura.

Haya yote ni viashiria ovu kwa mustakabali wa amani ya nchi kutoka chama kinachotaka kuingia Ikulu.

Je, kinataka kuharibu amani ya nchi kisha kikiingia madarakani kiirejeshe? Je, kinataka kujenga chuki na kuwagawa waTanzania wakati huu wa kampeni kisha kikiingia madarakani kianze kazi ya kuwaunganisha?

Kwa ujumla mwelekeo wa chadema kisipobadili msimamo wake katika masuala ya amani na umoja hakitafanikiwa kutwaa dola. Amiri Jeshi Mkuu wa nchi anatakiwa aonekana kuwa ni mtu mwenye nia thabiti kuhakikisha amani na mshikamano wa wananchi vinadumu ndipo hapo vitu kama uhuru wa kujiamulia mambo utakuwepo, haki itatendeka kwa kila mmoja na maendeleo.

Hauwezi kuwa na uhuru, haki na maendeleo katikati ya Vurugu na kukosa mshikamano yaani amani na utangamano wa nchi vikiwa havipo.
Inashangaza kwamba unataka ccm iendelee kutawala nchi hii hata baada ya kutawala kwa miaka zaidi ya 60! Halafu unalalamika umaskini, etc! Au wewe ni mnufaika wa ccm kwa nafasi za kuteuliwa?
 
Inashangaza kwamba unataka ccm iendelee kutawala nchi hii hata baada ya kutawala kwa miaka zaidi ya 60! Halafu unalalamika umaskini, etc! Au wewe ni mnufaika wa ccm kwa nafasi za kuteuliwa?
Kwa akili yako Chadema wakishinda utauaga umaskini. Hebu funguka kichwa hicho, chama hakina hata jengo moja la ofisi, kimeshindwa kujenga sasa ukipatie dhamana yankujenga nchi?

Fanya kazi uondokane na umasikini usisubiri kuteuliwa maana ndio akili yako kudhani TUNDU akishinda atakuteua. Hii itakupotezea muda na mwelekeo wa maisha yako hadi uzeeke bila kumili hata chumba kimoja.
 
Mauaji yametokea Njombe kijana Mlelwa kauawa Chadema hawajalaani au kutolea kauli kuwataka wanachama wao kuheshimu sheria za nchi na kanuni za uchaguzi ili kudumisha amani.

Mauaji pia yametokea Tunduma kijana akipigwa tofali hakuna tamko la Chadema.

Watu wamekatwa mapanga msikitini Zanzibar Chadema kama chama kikuu cha upinzani chenye ndoto kuongoza nchi bado kimeendelea kukaa kimya.

Tukirudi nyuma mauaji ya kibiti, Chadema hawakuwahi kutoa kauli yoyote kulaani wananchi kuuana au kuuliwa kwa viashiria vya mauaji ya kigaidi. Pengine walikebehi jitihada za serikali kupambana na mauaji hayo lakini pia walijitokeza haraka kuuliza walipo vijana washukiwa wa mauaji hayo.

Msimamo wa chadema katika masuala ya amani ya nchi hii ukoje? Kwa ujumla ukifuatilia hata kauli za kiongozi wao anaejaribu kuingia Ikulu unaashiria mitafaruku na uvunjifu wa amani. Itoshe tu kusema, Chadema wamekuwa wakiandaa matukio na kutoa kauli ambazo zitasababisha chuki kwa serikali na vyombo vyake mfano tukio la kuchoma ofisi yao Arusha, mabomu ya Tarime na uzushi wa mambo mengi ya uongo kama vile Uwanja wa Chato, ndege kutokukaguliwa na CAG na ununuzi wa ndege kutoidhinishwa na bunge na kubwa zaidi Rais Magufuli kuwaita Dodoma wakurugenzi wa Halmashauri kuwapa maelekezo ya kufanya wakati wa kupiga kura.

Haya yote ni viashiria ovu kwa mustakabali wa amani ya nchi kutoka chama kinachotaka kuingia Ikulu.

Je, kinataka kuharibu amani ya nchi kisha kikiingia madarakani kiirejeshe? Je, kinataka kujenga chuki na kuwagawa waTanzania wakati huu wa kampeni kisha kikiingia madarakani kianze kazi ya kuwaunganisha?

Kwa ujumla mwelekeo wa chadema kisipobadili msimamo wake katika masuala ya amani na umoja hakitafanikiwa kutwaa dola. Amiri Jeshi Mkuu wa nchi anatakiwa aonekana kuwa ni mtu mwenye nia thabiti kuhakikisha amani na mshikamano wa wananchi vinadumu ndipo hapo vitu kama uhuru wa kujiamulia mambo utakuwepo, haki itatendeka kwa kila mmoja na maendeleo.

Hauwezi kuwa na uhuru, haki na maendeleo katikati ya Vurugu na kukosa mshikamano yaani amani na utangamano wa nchi vikiwa havipo.
Vurugu wanafanya CCM, Magufuli, Tume ya Uchaguzi na Polisi...Lissu amewakemea akaishia kupigwa mabomu na polisi
 
Kwa akili yako Chadema wakishinda utauaga umaskini. Hebu funguka kichwa hicho, chama hakina hata jengo moja la ofisi, kimeshindwa kujenga sasa ukipatie dhamana yankujenga nchi?

Fanya kazi uondokane na umasikini usisubiri kuteuliwa maana ndio akili yako kudhani TUNDU akishinda atakuteua. Hii itakupotezea muda na mwelekeo wa maisha yako hadi uzeeke bila kumili hata chumba kimoja.
Muwe mnaficha upumbavu wenu
 
Kwanini CCM wasipinge na kukemea ukiukwaji mkubwa wa haki hapa nchini? Watu wangapi wameuawa ndani ya huu utawala na bado CCM iko kimya? Acheni unafiki vijana. Bila haki hakuna amani.
 
Kwa akili yako Chadema wakishinda utauaga umaskini. Hebu funguka kichwa hicho, chama hakina hata jengo moja la ofisi, kimeshindwa kujenga sasa ukipatie dhamana yankujenga nchi?

Fanya kazi uondokane na umasikini usisubiri kuteuliwa maana ndio akili yako kudhani TUNDU akishinda atakuteua. Hii itakupotezea muda na mwelekeo wa maisha yako hadi uzeeke bila kumili hata chumba kimoja.
Wengi walio ccm ni watu wenye ufahamu duni, ata ukiangalia mikoa ngome za ccm ndio iliyo nyuma kimaendeleo kwasababu ya ulimbukeni wao, je wewe unatoka mikoa hiyo?
 
Mauaji yametokea Njombe kijana Mlelwa kauawa Chadema hawajalaani au kutolea kauli kuwataka wanachama wao kuheshimu sheria za nchi na kanuni za uchaguzi ili kudumisha amani.

Mauaji pia yametokea Tunduma kijana akipigwa tofali hakuna tamko la Chadema.

Watu wamekatwa mapanga msikitini Zanzibar Chadema kama chama kikuu cha upinzani chenye ndoto kuongoza nchi bado kimeendelea kukaa kimya.

Tukirudi nyuma mauaji ya kibiti, Chadema hawakuwahi kutoa kauli yoyote kulaani wananchi kuuana au kuuliwa kwa viashiria vya mauaji ya kigaidi. Pengine walikebehi jitihada za serikali kupambana na mauaji hayo lakini pia walijitokeza haraka kuuliza walipo vijana washukiwa wa mauaji hayo.

Msimamo wa chadema katika masuala ya amani ya nchi hii ukoje? Kwa ujumla ukifuatilia hata kauli za kiongozi wao anaejaribu kuingia Ikulu unaashiria mitafaruku na uvunjifu wa amani. Itoshe tu kusema, Chadema wamekuwa wakiandaa matukio na kutoa kauli ambazo zitasababisha chuki kwa serikali na vyombo vyake mfano tukio la kuchoma ofisi yao Arusha, mabomu ya Tarime na uzushi wa mambo mengi ya uongo kama vile Uwanja wa Chato, ndege kutokukaguliwa na CAG na ununuzi wa ndege kutoidhinishwa na bunge na kubwa zaidi Rais Magufuli kuwaita Dodoma wakurugenzi wa Halmashauri kuwapa maelekezo ya kufanya wakati wa kupiga kura.

Haya yote ni viashiria ovu kwa mustakabali wa amani ya nchi kutoka chama kinachotaka kuingia Ikulu.

Je, kinataka kuharibu amani ya nchi kisha kikiingia madarakani kiirejeshe? Je, kinataka kujenga chuki na kuwagawa waTanzania wakati huu wa kampeni kisha kikiingia madarakani kianze kazi ya kuwaunganisha?

Kwa ujumla mwelekeo wa chadema kisipobadili msimamo wake katika masuala ya amani na umoja hakitafanikiwa kutwaa dola. Amiri Jeshi Mkuu wa nchi anatakiwa aonekana kuwa ni mtu mwenye nia thabiti kuhakikisha amani na mshikamano wa wananchi vinadumu ndipo hapo vitu kama uhuru wa kujiamulia mambo utakuwepo, haki itatendeka kwa kila mmoja na maendeleo.

Hauwezi kuwa na uhuru, haki na maendeleo katikati ya Vurugu na kukosa mshikamano yaani amani na utangamano wa nchi vikiwa havipo.
Wakemee na wakati vitendo hivyo ndio wapendavyo?. Hiko chama Serikali iwe nacho makini wasije geuka waasi hawa. Mabeberu hupenda vyama vya style hii, coz kwao kama mlango wa kuingilia ndani na kuwagawanya. Watanzania tusikubali vyama vyenye nia ovu kwa taifa letu changa.
 
Mbona jibu rahisi tu ni kwamba huwa hawaamini hicho wanachokipigia kelele ni siasa tu,ukiona wanapinga au kulalamikia jambo usifikir wanafanya hivyo kwa kuwa wanamaanisha.

Ndio maana utaona sasa hawapigi tena kelele za corona na wako busy kusifia watu kujazana kumuona Lissu,wangekuwa ni watu wa misimamo kweli hata wasingekula matapishi yao kwa Lowassa.
 
wao wanautaka UONGOZI.mambo ya watu kufa kufa sio kipaumbele chao.
 
Mauaji yametokea Njombe kijana Mlelwa kauawa Chadema hawajalaani au kutolea kauli kuwataka wanachama wao kuheshimu sheria za nchi na kanuni za uchaguzi ili kudumisha amani.

Mauaji pia yametokea Tunduma kijana akipigwa tofali hakuna tamko la Chadema.

Watu wamekatwa mapanga msikitini Zanzibar Chadema kama chama kikuu cha upinzani chenye ndoto kuongoza nchi bado kimeendelea kukaa kimya.

Tukirudi nyuma mauaji ya kibiti, Chadema hawakuwahi kutoa kauli yoyote kulaani wananchi kuuana au kuuliwa kwa viashiria vya mauaji ya kigaidi. Pengine walikebehi jitihada za serikali kupambana na mauaji hayo lakini pia walijitokeza haraka kuuliza walipo vijana washukiwa wa mauaji hayo.

Msimamo wa chadema katika masuala ya amani ya nchi hii ukoje? Kwa ujumla ukifuatilia hata kauli za kiongozi wao anaejaribu kuingia Ikulu unaashiria mitafaruku na uvunjifu wa amani. Itoshe tu kusema, Chadema wamekuwa wakiandaa matukio na kutoa kauli ambazo zitasababisha chuki kwa serikali na vyombo vyake mfano tukio la kuchoma ofisi yao Arusha, mabomu ya Tarime na uzushi wa mambo mengi ya uongo kama vile Uwanja wa Chato, ndege kutokukaguliwa na CAG na ununuzi wa ndege kutoidhinishwa na bunge na kubwa zaidi Rais Magufuli kuwaita Dodoma wakurugenzi wa Halmashauri kuwapa maelekezo ya kufanya wakati wa kupiga kura.

Haya yote ni viashiria ovu kwa mustakabali wa amani ya nchi kutoka chama kinachotaka kuingia Ikulu.

Je, kinataka kuharibu amani ya nchi kisha kikiingia madarakani kiirejeshe? Je, kinataka kujenga chuki na kuwagawa waTanzania wakati huu wa kampeni kisha kikiingia madarakani kianze kazi ya kuwaunganisha?

Kwa ujumla mwelekeo wa chadema kisipobadili msimamo wake katika masuala ya amani na umoja hakitafanikiwa kutwaa dola. Amiri Jeshi Mkuu wa nchi anatakiwa aonekana kuwa ni mtu mwenye nia thabiti kuhakikisha amani na mshikamano wa wananchi vinadumu ndipo hapo vitu kama uhuru wa kujiamulia mambo utakuwepo, haki itatendeka kwa kila mmoja na maendeleo.

Hauwezi kuwa na uhuru, haki na maendeleo katikati ya Vurugu na kukosa mshikamano yaani amani na utangamano wa nchi vikiwa havipo.

CCM na hasa Mwenyekiti wake taifa hawakukemea kushambuliwa kwa Mh Tundu Lissu
 
Mauaji yametokea Njombe kijana Mlelwa kauawa Chadema hawajalaani au kutolea kauli kuwataka wanachama wao kuheshimu sheria za nchi na kanuni za uchaguzi ili kudumisha amani.

Mauaji pia yametokea Tunduma kijana akipigwa tofali hakuna tamko la Chadema.

Watu wamekatwa mapanga msikitini Zanzibar Chadema kama chama kikuu cha upinzani chenye ndoto kuongoza nchi bado kimeendelea kukaa kimya.

Tukirudi nyuma mauaji ya kibiti, Chadema hawakuwahi kutoa kauli yoyote kulaani wananchi kuuana au kuuliwa kwa viashiria vya mauaji ya kigaidi. Pengine walikebehi jitihada za serikali kupambana na mauaji hayo lakini pia walijitokeza haraka kuuliza walipo vijana washukiwa wa mauaji hayo.

Msimamo wa chadema katika masuala ya amani ya nchi hii ukoje? Kwa ujumla ukifuatilia hata kauli za kiongozi wao anaejaribu kuingia Ikulu unaashiria mitafaruku na uvunjifu wa amani. Itoshe tu kusema, Chadema wamekuwa wakiandaa matukio na kutoa kauli ambazo zitasababisha chuki kwa serikali na vyombo vyake mfano tukio la kuchoma ofisi yao Arusha, mabomu ya Tarime na uzushi wa mambo mengi ya uongo kama vile Uwanja wa Chato, ndege kutokukaguliwa na CAG na ununuzi wa ndege kutoidhinishwa na bunge na kubwa zaidi Rais Magufuli kuwaita Dodoma wakurugenzi wa Halmashauri kuwapa maelekezo ya kufanya wakati wa kupiga kura.

Haya yote ni viashiria ovu kwa mustakabali wa amani ya nchi kutoka chama kinachotaka kuingia Ikulu.

Je, kinataka kuharibu amani ya nchi kisha kikiingia madarakani kiirejeshe? Je, kinataka kujenga chuki na kuwagawa waTanzania wakati huu wa kampeni kisha kikiingia madarakani kianze kazi ya kuwaunganisha?

Kwa ujumla mwelekeo wa chadema kisipobadili msimamo wake katika masuala ya amani na umoja hakitafanikiwa kutwaa dola. Amiri Jeshi Mkuu wa nchi anatakiwa aonekana kuwa ni mtu mwenye nia thabiti kuhakikisha amani na mshikamano wa wananchi vinadumu ndipo hapo vitu kama uhuru wa kujiamulia mambo utakuwepo, haki itatendeka kwa kila mmoja na maendeleo.

Hauwezi kuwa na uhuru, haki na maendeleo katikati ya Vurugu na kukosa mshikamano yaani amani na utangamano wa nchi vikiwa havipo.
Mimi nataka wafe sana hawa ccm wasiona utu kwani nyinyi mnakemea nini?
 
Mwanaccm akifa ni furaha kwa wanancjhi. Sasa unataka chadema wakemee furaha?
 
Mauaji yametokea Njombe kijana Mlelwa kauawa Chadema hawajalaani au kutolea kauli kuwataka wanachama wao kuheshimu sheria za nchi na kanuni za uchaguzi ili kudumisha amani.

Mauaji pia yametokea Tunduma kijana akipigwa tofali hakuna tamko la Chadema.

Watu wamekatwa mapanga msikitini Zanzibar Chadema kama chama kikuu cha upinzani chenye ndoto kuongoza nchi bado kimeendelea kukaa kimya.

Tukirudi nyuma mauaji ya kibiti, Chadema hawakuwahi kutoa kauli yoyote kulaani wananchi kuuana au kuuliwa kwa viashiria vya mauaji ya kigaidi. Pengine walikebehi jitihada za serikali kupambana na mauaji hayo lakini pia walijitokeza haraka kuuliza walipo vijana washukiwa wa mauaji hayo.

Msimamo wa chadema katika masuala ya amani ya nchi hii ukoje? Kwa ujumla ukifuatilia hata kauli za kiongozi wao anaejaribu kuingia Ikulu unaashiria mitafaruku na uvunjifu wa amani. Itoshe tu kusema, Chadema wamekuwa wakiandaa matukio na kutoa kauli ambazo zitasababisha chuki kwa serikali na vyombo vyake mfano tukio la kuchoma ofisi yao Arusha, mabomu ya Tarime na uzushi wa mambo mengi ya uongo kama vile Uwanja wa Chato, ndege kutokukaguliwa na CAG na ununuzi wa ndege kutoidhinishwa na bunge na kubwa zaidi Rais Magufuli kuwaita Dodoma wakurugenzi wa Halmashauri kuwapa maelekezo ya kufanya wakati wa kupiga kura.

Haya yote ni viashiria ovu kwa mustakabali wa amani ya nchi kutoka chama kinachotaka kuingia Ikulu.

Je, kinataka kuharibu amani ya nchi kisha kikiingia madarakani kiirejeshe? Je, kinataka kujenga chuki na kuwagawa waTanzania wakati huu wa kampeni kisha kikiingia madarakani kianze kazi ya kuwaunganisha?

Kwa ujumla mwelekeo wa chadema kisipobadili msimamo wake katika masuala ya amani na umoja hakitafanikiwa kutwaa dola. Amiri Jeshi Mkuu wa nchi anatakiwa aonekana kuwa ni mtu mwenye nia thabiti kuhakikisha amani na mshikamano wa wananchi vinadumu ndipo hapo vitu kama uhuru wa kujiamulia mambo utakuwepo, haki itatendeka kwa kila mmoja na maendeleo.

Hauwezi kuwa na uhuru, haki na maendeleo katikati ya Vurugu na kukosa mshikamano yaani amani na utangamano wa nchi vikiwa havipo.
CHADEMA haina ubavu wala uhalali, kisiasa na kijamii, kukemea mauaji hayo kwani wao ni wahusika wakuu.
 
Back
Top Bottom