Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ingeanzia Mbeya mngruliza pia why mbeya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba walioko Mwanza ni wasukuma tu?Sababu wasukuma ni kama ng'ombe wakiambiwa hivi wanakubali kesho wakiambiwa vile wanakubali. Awamu ya Magufuli walikuwa supporters wa CCM sasa Chadema wanaenda kuwalubuni fasta watageuka.
KWA sababu mwanza ni Tanzania pia tunaenda kuanzia tulipoishia upooNajaribu kufikiri na kuwaza kwanini CHADEMA inaanzia mikutano yake Mwanza? Kwanini siyo makao makuu ya nchi Dodoma? Kwanini siyo Dar ambako viongozi wengi Wa CHADEMA wanaishi?
Kwanini siyo Moshi Arusha ambako mawazo ya kuzaliwa CHADEMA yalianzia.
Swali kwanini iwe Mwanza?
Aliye majibu anijibu naomba.
Huo ndio ukweli, na hawa wanaochezea chaguzi zetu ni kwasababu wanajua hatuna cha kufanya. Anticipate ya Kimya Kimya ni iwapo unataka kuingia msituni.Duh...!, kama hii ndio misimamo, basi tuna kazi kubwa mbele yetu!. Yaani una anticipates machafuko?!. Naomba endelea to anticipate that kimya kimya, ukihamasisha ni uchochezi!.
P
Chadema ni chama Cha kitaifa,,na kanda ya Ziwa ni sehemu katika Taifa hili.Najaribu kufikiri na kuwaza kwanini CHADEMA inaanzia mikutano yake Mwanza? Kwanini siyo makao makuu ya nchi Dodoma? Kwanini siyo Dar ambako viongozi wengi Wa CHADEMA wanaishi?
Kwanini siyo Moshi Arusha ambako mawazo ya kuzaliwa CHADEMA yalianzia.
Swali kwanini iwe Mwanza?
Aliye majibu anijibu naomba.
Ni hisia zake tu huyu mvuta nyara za SerikaliWasukuma walikufanya nini ndugu.
Sababu nisawa na majibu uliyonayo na pengine wangeanzia na maeneo uliyoyatajaNajaribu kufikiri na kuwaza kwanini CHADEMA inaanzia mikutano yake Mwanza? Kwanini siyo makao makuu ya nchi Dodoma? Kwanini siyo Dar ambako viongozi wengi Wa CHADEMA wanaishi?
Kwanini siyo Moshi Arusha ambako mawazo ya kuzaliwa CHADEMA yalianzia.
Swali kwanini iwe Mwanza?
Aliye majibu anijibu naomba.
Swali lako liko VALID kwa popote watakaponzia.Najaribu kufikiri na kuwaza kwanini CHADEMA inaanzia mikutano yake Mwanza? Kwanini siyo makao makuu ya nchi Dodoma? Kwanini siyo Dar ambako viongozi wengi Wa CHADEMA wanaishi?
Kwanini siyo Moshi Arusha ambako mawazo ya kuzaliwa CHADEMA yalianzia.
Swali kwanini iwe Mwanza?
Aliye majibu anijibu naomba.
Utaumia sana kwa nyomi litakalofurika.huna ubavu wa kuizuia Chadema,chuki zenu za kihutu pelekeni Burundi kwenuKanda ya ziwa hatuwataki CDM - hatutawasikiliza - waanzie Ubelgiji