Kwanini CHADEMA mkutano wa kumualika Rais wamefanyia Moshi ila maandamano waliyafanyia Mwanza?

Naomba mwenye uelewa anieleweshe hii kitaalam inamaanisha nini?

Kikao na Rais - Moshi
Maandamano - Mwanza

Chadema mipango yao hii vipi mwaionaje.
Mwanza bado hawajajitambua mkuu ,kule ukiwambia waandamane hata usiku wa manane watafanya hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…