Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na Tunduma piaMwanza bado hawajajitambua mkuu ,kule ukiwambia waandamane hata usiku wa manane watafanya hivyo
We kichaa unaona umeandika ukiwa na akili timamu? HahahaAndika ukiwa na akili timamu we mwehu!
Tambua kuwa vyama vina kalenda zao za matukio!
Mwanza kulifanyika maandamano au ufunguzi wa mikutano ya hadhara...😀😀😀Naomba mwenye uelewa anieleweshe hii kitaalam inamaanisha nini?
Kikao na Rais - Moshi
Maandamano - Mwanza
Chadema mipango yao hii vipi mwaionaje.
Ukabila na chuki dhidi ya viumbe wenzako utakufikisha wapi ndugu? Siasa pekee ndio inayokuvua utu? Mungu alituumba kwa utofauti huu uliopo. Tuuheshimu.Vikao vya hela na vizito uchagani.
Vurugu za maandamano usukumani.
Hapo ndio umejibu hoja?Ukabila na chuki dhidi ya viumbe wenzako utakufikisha wapi ndugu? Siasa pekee ndio inayokuvua utu? Mungu alituumba kwa utofauti huu uliopo. Tuuheshimu.
😂😂😂😂😂Mwanza kulifanyika maandamano au ufunguzi wa mikutano ya hadhara...😀😀😀
Kwasababu ni karibu na Arusha.Naomba mwenye uelewa anieleweshe hii kitaalam inamaanisha nini?
Kikao na Rais - Moshi
Maandamano - Mwanza
Chadema mipango yao hii vipi mwaionaje.
Ungekuwa na hoja si ungetamba? Wewe umetawaliwa na chuki za kikabila tu basi. Nyerere alisema watu kama wewe ni wa kuogopwa.Hapo ndio umejibu hoja?
Mkabila ni yule anaepeleka manufaa kwao fujo kwa wenzie.
Kikao gani kilifanyika Moshi? Au unamaanisha lile kongamano la kuadhimisha siku ya wanawake duniani?Naomba mwenye uelewa anieleweshe hii kitaalam inamaanisha nini?
Kikao na Rais - Moshi
Maandamano - Mwanza
Chadema mipango yao hii vipi mwaionaje.