Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Sasa mbona mliiba mboga mpaka mkakomba ukoko [emoji56][emoji23][emoji1787]. Bora amepumzikaHahahaaaa........kiukweli Chadema tunawamis bungeni!
Na CCM ndiyo maana mnatumia majeshi kupambana na ChademaChadema iogopwe ina nini?
CCM ni genge la kihalifu linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawalaMkuu CHADEMA kutompenda Dr.Mpango is expected,he is a no nonsense person,a nationalist and a leader who will stand firm against anybody who will dream of stealing our resources.
Sasa CHADEMA ni makarai ya zege ya mabeberu,watampendaje Dr.Mpango,na wamepewa kazi ya kuwasafishia njia ili waibe resources,wameshindwa na kibarua kimeota nyasi? Si unaona Lissu yuko kwa mabeberu anawafuta viatu na wamempa ajira ya hovyo kabisa,eti mtetezi wa mashoga Ulaya.Aibu sana.Eti huyu ndiye anayetaka kuwa Rais wa Watanzania,hivi wanawaona Watanzania kwamba ni mapoyoyo sana,eti?!
Hilo ni mbwigaMtoa mada haeleweki...
Hilo mbwiga likisha lewa mitaputapu yake linapost upumbavu tu.Una mambo ya kufikirika sana wewe. Ni wapi waliposema wanamuogopa ?!
Odhis *
Tii sheria bila shurutiNa CCM ndiyo maana mnatumia majeshi kupambana na Chadema
Wewe hizo habari umeambiwa na nani?? Wewe utakuwa ni wale ccm mliokuwa mnamiliki mali za ccm . Sasa mmenyang'anywa! Hasira zenu mnamalizia kwa bashiru.Yuko wapi Bashiru Ally Kakurwa aletaka urais kwa sababu tu uswahiba na Jiwe akatishia Jeshi wasigine katiba apewe yeye aludhania sawa na kuteuliwa na kusigina katiba ? Amezoea za mdondo !!
Yuko wapi Bashiru Ally Kakurwa aletaka urais kwa sababu tu uswahiba na Jiwe akatishia Jeshi wasigine katiba apewe yeye aludhania sawa na kuteuliwa na kusigina katiba ? Amezoea za mdondo !!
Sizijui, naomba unifahamishe mkuu.Hivi mkuu unajua athari za social distancing kwenye jamii kweli?
Niliyoainisha ni kweli au uongo?CCM ni genge la kihalifu linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala
Umeshafura manka!Hilo mbwiga likisha lewa mitaputapu yake linapost upumbavu tu.
Chadema ni chama kikuu cha upinzani usisahau hilo meku!Post zako nyingi ni attack thidi ya CDM sasa wewe na lisu mtakuwa mna tofauti gani
Eti CHADEMA yasemwayo ni kweliVijana wa Chadema ya Ufipa wanaonekana kutofurahia uteuzi wa Dr Mpango kuwa makamu wa Rais.
Je, ni kwa sababu amewashauri wabunge wa upinzani kuhamia CCM au kuna jambo lingine?
Kila zama na kitabu chake!
Maendeleo hayana vyama.
Vijana wa Chadema ya Ufipa wanaonekana kutofurahia uteuzi wa Dr Mpango kuwa makamu wa Rais.
Je, ni kwa sababu amewashauri wabunge wa upinzani kuhamia CCM au kuna jambo lingine?
Kila zama na kitabu chake!
Maendeleo hayana vyama.
Nakutakia Pasaka njema bwashee!Huna akili kama Meko.
OVER
Bashiru anakuja wewe tuliza mshono huijui ccm, nakushangaa unashangilia nini, Bashiru ni lulu ya ccm, si unajua anavyoseti mitambo ya ushhindi??????Yuko wapi Bashiru Ally Kakurwa aletaka urais kwa sababu tu uswahiba na Jiwe akatishia Jeshi wasigine katiba apewe yeye aludhania sawa na kuteuliwa na kusigina katiba ? Amezoea za mdondo !!
Mpango atawang'oa meno bila ganzi.Chadema hawajitambui, eti hawashiriki uchaguzi majimbo ya kigoma wameogopa zitto atawanyoa bila majiMkuu CHADEMA kutompenda Dr.Mpango is expected,he is a no nonsense person,a nationalist and a leader who will stand firm against anybody who will dream of stealing our resources.
Sasa CHADEMA ni makarai ya zege ya mabeberu,watampendaje Dr.Mpango,na wamepewa kazi ya kuwasafishia njia ili waibe resources,wameshindwa na kibarua kimeota nyasi? Si unaona Lissu yuko kwa mabeberu anawafuta viatu na wamempa ajira ya hovyo kabisa,eti mtetezi wa mashoga Ulaya.Aibu sana.Eti huyu ndiye anayetaka kuwa Rais wa Watanzania,hivi wanawaona Watanzania kwamba ni mapoyoyo sana,eti?!