misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Uko Kigali unaweza kumuita Kagame majina ya kijinga na ukaishi salama?Kalibu Kigali umeheshiwa weweee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko Kigali unaweza kumuita Kagame majina ya kijinga na ukaishi salama?Kalibu Kigali umeheshiwa weweee
Una ubaridi wewe...
Hapana ila umezidisha upumbavuUmeshafura manka!
Kwa mtindo huu atataka mahakama iwe kitengo cha CCMVijana wa Chadema ya Ufipa wanaonekana kutofurahia uteuzi wa Dr Mpango kuwa makamu wa Rais.
Je, ni kwa sababu amewashauri wabunge wa upinzani kuhamia CCM au kuna jambo lingine?
Kila zama na kitabu chake!
Maendeleo hayana vyama.
Vijana wa Chadema ya Ufipa wanaonekana kutofurahia uteuzi wa Dr Mpango kuwa makamu wa Rais.
Je, ni kwa sababu amewashauri wabunge wa upinzani kuhamia CCM au kuna jambo lingine?
Kila zama na kitabu chake!
Maendeleo hayana vyama.
Wanaona aibu mkuu kwa kuwa wanajua kwamba Watanzania wameshawastukia.Hivi wazee wa Kigoma watawaelewa kweli hasa ukizingatia mila na desturi za Kiafrika zinavyopinga maswala ya ushoga.Kama mgombea Urais ni mtetea ushoga,si ina maana chama nacho ndio msimamo wake.Ni vema wakaacha tu mkuu,wameshajiroga.Mpango atawang'oa meno bila ganzi.Chadema hawajitambui, eti hawashiriki uchaguzi majimbo ya kigoma wameogopa zitto atawanyoa bila maji
Kitabu kinatoka soon .....kupaa na kuporomoka kwa mwenye tamaa BashiruBashiru anakuja wewe tuliza mshono huijui ccm, nakushangaa unashangilia nini, Bashiru ni lulu ya ccm, si unajua anavyoseti mitambo ya ushhindi??????