Pre GE2025 Kwanini CHADEMA wanaolilia katiba mpya hawataki kufuata katiba yao inayoruhusu Mbowe agombee?

Pre GE2025 Kwanini CHADEMA wanaolilia katiba mpya hawataki kufuata katiba yao inayoruhusu Mbowe agombee?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hawa jamaa walitunga katiba ambayo inampa haki Mbowe agombee na amegombea, Lissu kagombea. Hakuna aliyevunja katiba. Kwa nini wanaona Mbowe kugombea ni tatizo?

Lissu anataka mteremko? Si apiganie kura kwa wajumbe?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Kila mtu ana haki.

Hawa ndio wanatamani nchi iwe na katiba mpya yenye haki kedekede lakini ndani ya chama chao wanataka kumyima mbowe haki yake ya kikatiba?

Ndio maana hata katiba mpya isipokuwepo ni sawa tu.
 
Wakati LISSU anachukia Fomu, alichukia Fomu ya Kugombea, ili ugombee lazima ushindane, ili ushindane lazima ukutane na washindani wengine.

Hamna Mahali LISSU hataki FAM asigombee.


Kwa Ufupi LISSU ni aina ya watu wasoamin katika kubebwa bebwa, LISSU Anaamin katika Uwezo wake.
 
Chadema wanafiki sana, mbona vilio vimetanda baada ya mwamba kuchukua fomu
Wakati LISSU anachukia Fomu, alichukia Fomu ya Kugombea, ili ugombee lazima ushindane, ili ushindane lazima ukutane na washindani wengine.

Hamna Mahali LISSU hataki FAM asigombee.


Kwa Ufupi LISSU ni aina ya watu wasoamin katika kubebwa bebwa, LISSU Anaamin katika Uwezo wake.
 
Wakati LISSU anachukia Fomu, alichukia Fomu ya Kugombea, ili ugombee lazima ushindane, ili ushindane lazima ukutane na washindani wengine.

Hamna Mahali LISSU hataki FAM asigombee.


Kwa Ufupi LISSU ni aina ya watu wasoamin katika kubebwa bebwa, LISSU Anaamin katika Uwezo wake.
Uwezo gani? si angechukua fomu akakaa kimya..Lisu hana uwezo huo wa kuwa mwenyekiti!..a loose dog n you want to take to the hightable..!
 
Uwezo gani? si angechukua fomu akakaa kimya..Lisu hana uwezo huo wa kuwa mwenyekiti!..a loose dog n you want to take to the hightable..!
Unahisi kwann alitakiwa kukaa kimya? Akiwa kama Mgombeaji na mwenye sababu nyingi za kwann agombee
 
Unahisi kwann alitakiwa kukaa kimya? Akiwa kama Mgombeaji na mwenye sababu nyingi za kwann agombee
Lisu ameshiriki kujenga chama hadi kilivyo sasa, yeye ni sehemu ya mafanikio na madhaifu yote ya chadema..huwezi kuanza kubomoa ulipojenga..hiyo ni akili ya mwendawazimu tu! Tabia, maneno nk vinatakiwa kujenga si kubomoa..hulka ya kutaka kusikia mabaya zaidi kuliko ya mema ni ushabiki..Lisu anaponzwa na kusikia maneno ya ushabiki!
 
Maoni yangu kwa namna nilivyofatilia maandlizi ya uchaguzi CHADEMA ni kwamba.
Wananchi ambao ndio wapiga kura ktk uchaguzi wa Taifa wanatamani mabadiriko ktk uendeshwaji wa Chama.

Hawapendi Mbowe agombee kwasababu wamefanya tathmini Yao kwa Muda wote wa uongozi wa Mbowe na Viongozi wengine
Wamegundua Mbowe anauwezekano wa kushinda kwasababu kamati kuu ambayo inahusika na uchaguzi anaimudu zaidi kwa nguvu ya pesa na si ushawishi wa kuongoza(Ushawishi wake umebaki kidogo Sana).

Wanaamini Kama Mbowe atashinda hakutokua na mabadiriko yeyote ya uendeshwaji chama ambacho wanatamani kiwe imara na kuing'oa CCM madarakani.

Jambo lingine lililofanya
wasitake Mbowe agombee ni maneno ambayo wanaomuunga mkono Mbowe (mfano Boni hai) alichapisha ujumbe ulioonyesha kwamba hawakutaka TAL agombee waliongea nae na hakutaka kukubaliana nao. Hii ilikua kabla hata Mbowe hajarangaza nia a kugombea.
Mtu makini anaelewa kwanini hili linatokea.

Kama wanchi wengi ambao ndio mtaji wa wanasiasa hawamtaki Kuna ulazima gani wa kung'ang'ania ugombee.?

Kwa masrahi mapana ya chama Mbowe hakupaswa kugombea.
 
Back
Top Bottom