Wakati LISSU anachukia Fomu, alichukia Fomu ya Kugombea, ili ugombee lazima ushindane, ili ushindane lazima ukutane na washindani wengine.
Hamna Mahali LISSU hataki FAM asigombee.
Kwa Ufupi LISSU ni aina ya watu wasoamin katika kubebwa bebwa, LISSU Anaamin katika Uwezo wake.
Hamna vilio vilivyotanda, zaidi ya wafuasi wa CDM kuhisia tu kupitia uhalisia wa miaka 20 Madarakan, FAM amuachie LISSU.Chadema wanafiki sana, mbona vilio vimetanda baada ya mwamba kuchukua fomu
Uwezo gani? si angechukua fomu akakaa kimya..Lisu hana uwezo huo wa kuwa mwenyekiti!..a loose dog n you want to take to the hightable..!Wakati LISSU anachukia Fomu, alichukia Fomu ya Kugombea, ili ugombee lazima ushindane, ili ushindane lazima ukutane na washindani wengine.
Hamna Mahali LISSU hataki FAM asigombee.
Kwa Ufupi LISSU ni aina ya watu wasoamin katika kubebwa bebwa, LISSU Anaamin katika Uwezo wake.
Unahisi kwann alitakiwa kukaa kimya? Akiwa kama Mgombeaji na mwenye sababu nyingi za kwann agombeeUwezo gani? si angechukua fomu akakaa kimya..Lisu hana uwezo huo wa kuwa mwenyekiti!..a loose dog n you want to take to the hightable..!
Lisu ameshiriki kujenga chama hadi kilivyo sasa, yeye ni sehemu ya mafanikio na madhaifu yote ya chadema..huwezi kuanza kubomoa ulipojenga..hiyo ni akili ya mwendawazimu tu! Tabia, maneno nk vinatakiwa kujenga si kubomoa..hulka ya kutaka kusikia mabaya zaidi kuliko ya mema ni ushabiki..Lisu anaponzwa na kusikia maneno ya ushabiki!Unahisi kwann alitakiwa kukaa kimya? Akiwa kama Mgombeaji na mwenye sababu nyingi za kwann agombee
Kwa nini amuachie bila Kura? Lissu kakuambia hataki ushindani anataka mteremko?Hamna vilio vilivyotanda, zaidi ya wafuasi wa CDM kuhisia tu kupitia uhalisia wa miaka 20 Madarakan, FAM amuachie LISSU.