johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sijasikia jambo lolote la CHADEMA au Mkutano wowote mkubwa wa hadhara ukifanyikia mkoani Kilimanjaro kwa kitambo sana.
Kipaumbele cha CHADEMA ni Kanda ya Ziwa tu na kwa mbali Kanda ya Nyasa
Kulikoni?
Nawatakia Sabato Njema!
Kipaumbele cha CHADEMA ni Kanda ya Ziwa tu na kwa mbali Kanda ya Nyasa
Kulikoni?
Nawatakia Sabato Njema!