Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mkuu hakuna jeshi la kudai katiba mpya hapa nchini. Labda baadhi ya wanajeshi kwa mantiki ya kupindua nchi.Hayo Majeshi pia ni wahanga wa maisha mabovu ya vikokotoo wakistaafu!
Mimi niwaombe JWTZ,siku hiyo wakitoka kwenda kufanya usafi wasirudi makambini hadi wahakikishe wao pamoja na wananchi katiba inapatikana!,Tofauti na hapo hakuna kurudi kambini!