JWTZ tangu walipobebeshwa korosho ,kila kiongozi Sasa analitumia atakavyo. Chalamila sasa analitaka jeshi likasafishe vyoo vya stendi na kuzoa taka barabarani.
Ndiyo maana huwa naandika mara kadhaa humu kwamba majeshi yapo Niger, Burkina Faso, Senegal na Gabon. Hapa kwetu tuna wabeba korosho na wasafisha vyoo.