Kwanini chaneli nyingine za Azam ni lazima zilipiwe ili kuzitazama? Kwani zenyewe si za ndani?

Kwanini chaneli nyingine za Azam ni lazima zilipiwe ili kuzitazama? Kwani zenyewe si za ndani?

Sio lazima neno maendeleo liandikwe ndio kufanyike maendeleo...kudhibiti nalo ni jambo la muhimu...watu hawana shida na jina la TCRA bali watu wana shida na matendo na nia ya taasisi husika! Jina sio shida bali shida inaweza kuwa kwenye sheria na dhima ya taasisi...

Mjadala hapa ni zipi FTA na kwanini zikwate baada ya kumalizika kwa kifurushi? Hata Nape mwenyewe inaonesha hata aelewi maana ya FTA na mantiki yake ndio maana watu walishangilia tuu kusikia FTA zimerudishwa DSTV ...wakidhani watakuwa wanaziona bure hata kama kifurushi kikikata....jambo ambalo hata Azam hawafanyi!


Hata Nape hajui kinachoendelea na sidhani hata kama DSTV wenyewe wameelewa dhumuni la Nape[emoji23][emoji23][emoji23]


Wewe unae jua si ndo uweke hapa. Tusikie
 
Guys kama kuna mtu anahitaji king'amuzi complete/full kit cha AZAM cha DISH ambacho ni kipya kabisa hakijamaliza hata mwezi na kimeshalipiwa chaneli zote kwa miezi mitatu. naomba anicheki DM tufanye biashara, kinapatikana kwa 165k (non-negotiable price)
 
Back
Top Bottom