toa na ww za kwakoBado sijaona hoja za msingi
Mkuu usipupambazwe na vitecno tunavyoletewa Africa, Mchina ni zaidi ya tumjuavyo.Viwanda vingi vikubwa vya China ni FDI za kutoka developed countries sababu za biggest internal market na skilled and cheap manpower
Kama ni kukopa na madeni, US Ana madeni kutokana na kukopa China, kwa nini China haimo?Hiyo Ilikuwa 1971 iliundwa kwA ajiri ya kuendesha uchumi wa dunia. As US owned 1/2 of world gold then wafanyabiashara wake France, German, UK, Japan wakasema kwakua una own 1/2 ya gold in the world basi Currency yako(USD) itumike Katika exchange na hela zetu kwA thaman na utajiri. US akapendekeza kumuongeza Canada na EU wao wakamuweka Italy then wakawa US, UK, France, German, Italy, Canada na Japan as G7. At that time baadae Russia akajiunga ikawa G8 figisufigisu Russia akatoka sasa malengo ya G7 as economic group likawa advantage ya kisiasa kwA G7 members kwamba tunakopeshana hela kuendeleza Nchi zetu tutalipana baadae thus why US ana madeni. Yakapatikana maslahi Middle East hizi crisis na ugaidi kwA Nchi za kiarabu basi G7 Kutoka kuwa economic ikawa political kushughulikia masuala ya ugaidi wa Middle East... EU ikasema Middle East crisis haiwezi kuisha bila Russia kuwepo G7 inabidi 2017 tumushawish awepo sababu nae anabomb Middle East...China habomb Middle East Wala hana maslahi Wala biashara pale Kwahiyo China hahusiki labda akaribishwe kwa kuwapa Ushauri. Again ni hivi mwenye strong democracy ndo anaingia G7 sasa china hana strong democracy hence hawezi kuona kibanzi kwa ndugu yake wakati haliangalii boriti jichoni mwake.
Okay nikajua ndio waliojuu kiviwanda kumbe walichaguana wenyewe?Hiyo Ilikuwa 1971 iliundwa kwA ajiri ya kuendesha uchumi wa dunia. As US owned 1/2 of world gold then wafanyabiashara wake France, German, UK, Japan wakasema kwakua una own 1/2 ya gold in the world basi Currency yako(USD) itumike Katika exchange na hela zetu kwA thaman na utajiri. US akapendekeza kumuongeza Canada na EU wao wakamuweka Italy then wakawa US, UK, France, German, Italy, Canada na Japan as G7. At that time baadae Russia akajiunga ikawa G8 figisufigisu Russia akatoka sasa malengo ya G7 as economic group likawa advantage ya kisiasa kwA G7 members kwamba tunakopeshana hela kuendeleza Nchi zetu tutalipana baadae thus why US ana madeni. Yakapatikana maslahi Middle East hizi crisis na ugaidi kwA Nchi za kiarabu basi G7 Kutoka kuwa economic ikawa political kushughulikia masuala ya ugaidi wa Middle East... EU ikasema Middle East crisis haiwezi kuisha bila Russia kuwepo G7 inabidi 2017 tumushawish awepo sababu nae anabomb Middle East...China habomb Middle East Wala hana maslahi Wala biashara pale Kwahiyo China hahusiki labda akaribishwe kwa kuwapa Ushauri. Again ni hivi mwenye strong democracy ndo anaingia G7 sasa china hana strong democracy hence hawezi kuona kibanzi kwa ndugu yake wakati haliangalii boriti jichoni mwake.
Weee jamaa, US dollar kuwa kama exchange currency world wide soma hii kitu..PETROL-DOLLAR since 1972 sHiyo Ilikuwa 1971 iliundwa kwA ajiri ya kuendesha uchumi wa dunia. As US owned 1/2 of world gold then wafanyabiashara wake France, German, UK, Japan wakasema kwakua una own 1/2 ya gold in the world basi Currency yako(USD) itumike Katika exchange na hela zetu kwA thaman na utajiri. US akapendekeza kumuongeza Canada na EU wao wakamuweka Italy then wakawa US, UK, France, German, Italy, Canada na Japan as G7. At that time baadae Russia akajiunga ikawa G8 figisufigisu Russia akatoka sasa malengo ya G7 as economic group likawa advantage ya kisiasa kwA G7 members kwamba tunakopeshana hela kuendeleza Nchi zetu tutalipana baadae thus why US ana madeni. Yakapatikana maslahi Middle East hizi crisis na ugaidi kwA Nchi za kiarabu basi G7 Kutoka kuwa economic ikawa political kushughulikia masuala ya ugaidi wa Middle East... EU ikasema Middle East crisis haiwezi kuisha bila Russia kuwepo G7 inabidi 2017 tumushawish awepo sababu nae anabomb Middle East...China habomb Middle East Wala hana maslahi Wala biashara pale Kwahiyo China hahusiki labda akaribishwe kwa kuwapa Ushauri. Again ni hivi mwenye strong democracy ndo anaingia G7 sasa china hana strong democracy hence hawezi kuona kibanzi kwa ndugu yake wakati haliangalii boriti jichoni mwake.
Mwisho mtasema hata magu yupo kwenye ufunuo!hio G7 hadi kwenyr biblia kitabu cha ufunuo waliandikwa na hao wenzao