kyula
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 698
- 458
Sura ya ngapi mkuuhio G7 hadi kwenyr biblia kitabu cha ufunuo waliandikwa na hao wenzao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sura ya ngapi mkuuhio G7 hadi kwenyr biblia kitabu cha ufunuo waliandikwa na hao wenzao
jbu ni rahisi anayepamga hii list ni hasimu wa china so hawezpenda kumuona mchiz kwenye list yake akifanya poa ukweli ni kwamba kama list ingepangwa bila uhasama wa kisiasa na kiuchumi bac kwenye G7 china ingekua ipo mbele kabisa yan G1 au G2Wakuu kama tunavoona China inazalisha bidhaa nyingi ambazo huuzwa mpaka Ulaya na marekani.
Lakini mpaka sasa China sio mjumbe wa G7 (Most industrialized countries) yaani Nchi zilizoendelea kiviwanda. Nchi zilizo kwenye G7 ni Marekani, Uingereza, Japan, Italy, German, Canada na Ufaransa
Ni sababu ipi inaifanya China isiwe na sifa kuingia G7?
Bangi hiziChina ina viwanda vidogo vidogo kama vile anavyovizungumzia Mwijage! Haina viwanda vikubwa ambavyo vinaitwa heavy industries.
Soma ufunuo yote maana hawa viongozi wa dini washatufanya mazuzu kwa kutuchomolea mistari yenye maslai kwao (sadaka ) toa ubarikiweSura ya ngapi mkuu