Kwanini China na India huwa hawashiriki kombe la dunia?

Duh sahih ila naona 2002 walishiriki wakapigwa nje ndani
 
china ilifungiwa na fifa iliposhiriki mara ya mwisho kwa kuzidisha wachezaji uwanjani kutokana na mfanano wao! na kubadilishana bila mwamuz kujua na makosa mengine
Kumbe walitoa boko asee
 
Soka ni mchezo wa dunia, hauwezi kujiita taifa kubwa ukataka ushawishi duniani halafu ukaudharau. Ni suala la muda tu Mchina atawekeza zaidi huko ila shida sijui kama watakubali kuwa na chombo huru kisichoingiliwa na serikali yao.

Mmarekani kwa muda mrefu alidharau soka hadi ikabidi awekeze na huko at least awe na timu za ushindani kimataifa.

Ila sitashangaa kukuta timu kubwa za Ulaya na Marekani, mchina kaweka tayari pesa zake nyingi tu.
 
Wamewekeza toka miaka ya 2000 hadi wakawa wanasajili majina makubwa kwenda super ligue kwa kumwaga fedha ila imebuma baada ya kutokuzaa matunda na sasa wanaachana na over spending
nafikir hawajataka kuwekeza kwenye soka la kimataifa..!!
 
Kila inchi ina vipaumbele vyake vya soka.
Mfano hata marekani wao zamani miaka ya 90 kurudi nyuma walijikita sana ktk Basketball, baseball,nk,.

Football ilikuwa sio favorite ya wamarekani wengi.

Hata India wao favorite yao ni mchezo wa Crickets.na sio football.

China wao hata sijuwi kipaumbele ni nn?.
 
Kutengeneza vitu feki na kuviuza Africa ndicho wanachowazacmuda wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…