Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Kumbukumbu zinaniambia mwalimu Nyerere alizuia madini na gas kuchimbwa ili vizazi vya baadae baada ya kupata elimu mujaraab basi wanufaike na rasilimali hizo hivohivo na kwenye soka alikataza tusifike huko kombe la dunia mpaka vizazi vya baadae vijitambue ili kunufaika na mashindano hayo😂😂😂Kwanini Tanzania pia haishiriki kombe la Dunia [emoji276]mtoa mada acha bangi