Nitjuaje sasa kama website haipo secured
website yeyote inayoanza na http: haiko secured, Secured web zote zinaanza na https:
Sasa ukiaccess hizo website data zako haziwi secured, Hackers bots wanaona then wanachange website automatic unakuta imedirect sehemu nyingine..
Wanaweza pia wakainstall automatically data za site zao kwenye simu yako ambapo zinakua zinafanya kazi kimyakimya na kulamba bando yako.
kadiri unaaccess hizo site browser yako inazidi kua uchi, unazidi kushambuliwa, Badae browser inakua dhaifu kabisa hata uki access secured sites bado itaelekeza kwingine, Unakua Hacked na hizo bots Tayari ...
SOLUTUION: Delete browsing data , futa kila kitu for all time then Nenda kwenye Privacy settings ; Switch to enhaced Security..
Baada ya hapo tafuta tena kitu kinaitwa Thirdpart cookies , chagua option yeyote inayosema Block Thirdpart cookies...
Then usi access tena Website yeyote inaanzia na Http: Sababu sio secured kama ni ya mhimu basi Tumia vpn mda wowote unapoaccess hizo sitess..
Mfano wa hizo unsecured sites ni Porn sites ,Dating sites , Illegal Shopping sites , kwasababu zinataka uweke Personal information kama credit information , Picha zako, passwords kiasi kwamba inakua rahisi kuibiwa au Kufatiliwa (kuwa hacked), au Taharifa zako kutumika kwenye uhalifu ...
Mimi mwenyewe nina Bot yangu nimeitengeneza special kublock chochote kinachohusu ngono na betting, Kuna siku bot ya kampuni X ya ngono ilileta pop up, Bot yangu ikaanza kupigana aisee nilipigika, Servers za hawa jamaa ni hatari....