Kwanini Chrome inatumia data nyingi kuliko hata Youtube

Kwanini Chrome inatumia data nyingi kuliko hata Youtube

Hao kuku ndio wakoje bloangu?
Stop joking bro, Sio kuku ni cookies..

Hizo ni Taharifa za site unayotaka kuingia, unapo zikubali zinatunzwa kwenye browsers yako sehemu inaitwa stored Data...

Zinasaidia utakapo kua unaitumia hiyo website mfano jf hautakua na haja ya kulog in kila mara na inakusaidia kubrowse kwa haraka bila kuload mda mrefu kwasababu taharifa zake zinakua zipo ...

Sawa na wewe kabla hujafika sehemu fulani ulikua unashangaa lakini baada ya kutembelea hilo eneo mara kwa mara unalizoea na kuona kawaida sababu taharifa za hilo eneo lipo tayari kichwani pako, Sasa unapoamua kwenda hiyo sehemu kuiona unakua umekubali kuzijua taharifa za hilo eneo, ni sawa na Kuzi allow cookies mtandaoni ....

Cookies ni muhimu sababu zinarahisisha uharaka wa kufungua data na kuiona kwa uzuri website unayofungua;

mfano usipo allow cookie za JF kila unapoingia itakua inakudai kulog in na upya kila mara... Inaboa sio?

Sasa unapoacces unsecured site inakua kinyume, unapoallow hizo cookies wanazitumia kama silaha kushambulia data zako !! , utakuta unashambuliwa na adds Nyingi, Hao ndo trackers sasa..

kadiri unavyoacces hizo sites browser yako inazidi kua uchi wanazidi kukushambulia...Zile ads Nyingi ni matokeo sasa, Unakuta kila unahotaka kuaccess unapata shambulio inadirect kwingine usipotaka na hao ndio wanamaliza data zako !!!
 
Kama unatumia android nenda settings - App management - fungua app moja moja nenda Mobile data&wifi - Background data iweke OFF, Fanya hivyo kwa apps zote. Wakati umewasha data hivyo vi apps vina run kimyakimya na kula data. Ndo chanzo cha kulaumu Voda, tigo etc wezi wa bando kumbe settings za simu. Wale wa iphone mtajijua wenyewe.
Ahsante sana mkuu dah
 
Stop joking bro, Sio kuku ni cookies..

Hizo ni Taharifa za site unayotaka kuingia, unapo zikubali zinatunzwa kwenye browsers yako sehemu inaitwa stored Data...

Zinasaidia utakapo kua unaitumia hiyo website mfano jf hautakua na haja ya kulog in kila mara na inakusaidia kubrowse kwa haraka bila kuload mda mrefu kwasababu taharifa zake zinakua zipo ...

Sawa na wewe kabla hujafika sehemu fulani ulikua unashangaa lakini baada ya kutembelea hilo eneo mara kwa mara unalizoea na kuona kawaida sababu taharifa za hilo eneo lipo tayari kichwani pako, Sasa unapoamua kwenda hiyo sehemu kuiona unakua umekubali kuzijua taharifa za hilo eneo, ni sawa na Kuzi allow cookies mtandaoni ....

Cookies ni muhimu sababu zinarahisisha uharaka wa kufungua data na kuiona kwa uzuri website unayofungua;

mfano usipo allow cookie za JF kila unapoingia itakua inakudai kulog in na upya kila mara... Inaboa sio?

Sasa unapoacces unsecured site inakua kinyume, unapoallow hizo cookies wanazitumia kama silaha kushambulia data zako !! , utakuta unashambuliwa na adds Nyingi, Hao ndo trackers sasa..

kadiri unavyoacces hizo sites browser yako inazidi kua uchi wanazidi kukushambulia...Zile ads Nyingi ni matokeo sasa, Unakuta kila unahotaka kuaccess unapata shambulio inadirect kwingine usipotaka na hao ndio wanamaliza data zako !!!
Nimeelimika sana hapa,thanks sana mkuu
 
Teh! Teh! Inaonyesha IT tuko wengi humu, haya Tupe maharifa yako, wapi napotosha?
HTTP haihusiani na tatizo la mtoa mada
HTTPS inafunga kufuli data sensitive(nywila, Credit Card details) zinazotoka kwa browser/client kwenda kwa server, mtu wa kati asiweze kusoma na kuzielewa

VPN haisaidii kufunga data ukitumia HTTP zaidi ya kuficha IP yako na kukupa IP feki, still data zinakuwa wazi
 
Kama unatumia android nenda settings - App management - fungua app moja moja nenda Mobile data&wifi - Background data iweke OFF, Fanya hivyo kwa apps zote. Wakati umewasha data hivyo vi apps vina run kimyakimya na kula data. Ndo chanzo cha kulaumu Voda, tigo etc wezi wa bando kumbe settings za simu. Wale wa iphone mtajijua wenyewe.
Hii ni nzuri pia, Lakini haitamsaidia sana kwa sababu bando linakwisha haraka kipindi anapokua anatumia chrome moja kwa moja sio ambapo yuko nje ya Chrome ..

Lakini its helpfull pia ..
 
Chrome plugins zao zipo update to date hatari,unaweza hata kucheza game online,websites zenye picha zina load high quality picha,picha za JF zina hadi 2MB,tumia opera au firefox but utamiss some experience
nimetumia chrome na sasa natumia firefox naweza kusema kwangu firefox is better than chrome
 
Chrome plugins zao zipo update to date hatari,unaweza hata kucheza game online,websites zenye picha zina load high quality picha,picha za JF zina hadi 2MB,tumia opera au firefox but utamiss some experience
And it keep caches of everything you’re browsing
 
Back
Top Bottom