wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 808
Wakuu hebu leo tuongelee hili swala. Katika mitandao ya kijamii tunaweza ona anti China movement ni nyingi kuliko anti west movements. Au ni kwa sababu wachina wako simple. Kwanini tuna attack sana wachina japokua wote tunajua historia na tunajua ni nini tulifanyiwa, nani alitufanyia na tunaendelea kufanyiwa katika mfumo tofauti.
Hii chuki kwanini ina concetrate sana kwa wachina ambao hatuna historia mbaya nao.
Hii inanikumbusha pia South Afrika (xenophobia) kwamba, wa South Afrika wanafukuza waafrika wenzao wageni wakati waliowachapa viboko miaka 400 na wakachukua ardhi yao wapo wanachekelea.
Ni kwamba waafrika wameumbwa kujichukia kiasi hicho. Pia kwann tunaonesha unafiki linapokuja swala la kutenda haki kwa wote, kwa nn tunaangalia kundi lisilo na power ndo tunashambulia.
Hii ni kama story ya club. Kwamba watu wawili wamesababisha bia yako kumwagika, ila kati ya wale watu 2 mmoja ni baunsa, unanyanyuka unampiga yule ambae sio baunsa afu baunsa unamuacha. Hii ni moronic behavior sijawahi ona.
Hii chuki kwanini ina concetrate sana kwa wachina ambao hatuna historia mbaya nao.
Hii inanikumbusha pia South Afrika (xenophobia) kwamba, wa South Afrika wanafukuza waafrika wenzao wageni wakati waliowachapa viboko miaka 400 na wakachukua ardhi yao wapo wanachekelea.
Ni kwamba waafrika wameumbwa kujichukia kiasi hicho. Pia kwann tunaonesha unafiki linapokuja swala la kutenda haki kwa wote, kwa nn tunaangalia kundi lisilo na power ndo tunashambulia.
Hii ni kama story ya club. Kwamba watu wawili wamesababisha bia yako kumwagika, ila kati ya wale watu 2 mmoja ni baunsa, unanyanyuka unampiga yule ambae sio baunsa afu baunsa unamuacha. Hii ni moronic behavior sijawahi ona.