Mnatakiwa mlaumu seeikali yenu kwa kutokua makini kukagua kinachoingia nchini, china kama china pia ina wahuni, wazalendo, wakorofi, watukutu, matapeli, wezi. Huwezi hukumu wachina wote kwa kosa la watu wachache.( individuals)Siku walipotengeneza mchele wa plastiki ndio niliwanyoshea mikono.
Asante mkuu.Tunatofautiana nao jamaa mazingira yao ni kazi, kazi, kazi, kazi
Sisi tumejizoeza na umaskini wetu kazi kidogo BATA jingi!
Siyo Wachina Tu. Wakorea, Wafilipino, Wajapan ndiyo kabisaah kazi mpaka wao serikali inatoa amri majengo yazimwe taa. Watu wakalale, wapumzike!
Wakija Bongo, mbongo anapigiwa simu oyaah nakuja, dereva kachelewa,
Secretary anakuambia haji kibaruani kwa sababu Jana kulikuwa na kigodoro!
Wengine wakija hawatimizi majukumu!
Wizi, dereva anaiba mafuta, SGR Mwanza, madereva wanapiga nyoka mafuta, mpaka unajiuliza sasa nchi itajengeka kweli!?
Umewasahau wadosi nao nuksiChinese one of the most worst race ever created
Tunaongelea current issue, yaani umchukie mtu kwa sababu alikutawala? Ulikuwa ni mfumo rasmi wa maisha ya kipindi hicho. Hata marekani walitawaliwa pia. Tunaongelea kwa sasa, hii jamii ya wachina ina manyanyaso sana kwa jamii ya africa. Sasa unataka tuipende kwa lipi?Ndio. Lakini mbona tunavunga kusahau kuhusu waliotutawala. Kwa sababu hata mchina anachofanya anamuiga yuleyule aliemtawala. Kumbuka european pia walimtawala mchina
Ndio. Lakini mbona tunavunga kusahau kuhusu waliotutawala. Kwa sababu hata mchina anachofanya anamuiga yuleyule aliemtawala. Kumbuka european pia walimtawala mchina
Kwa hiyo wewe unaweza kuruhusu mtu akufanye kuwa mtumwa kwa sababu ni mfumo rasmi umeukuta, yani unashindwa kutumia common sense, una justify kitu ambacho hata mtoto wa miaka mitano anaweza kukichanganua kua sio sahihi.Tunaongelea current issue, yaani umchukie mtu kwa sababu alikutawala? Ulikuwa ni mfumo rasmi wa maisha ya kipindi hicho. Hata marekani walitawaliwa pia. Tunaongelea kwa sasa, hii jamii ya wachina ina manyanyaso sana kwa jamii ya africa. Sasa unataka tuipende kwa lipi?
Kama ni swala la mfumo rasmi basi hakuna maana ya kuwapigia wachina kelele. Hata wachina kukunyinya ni mfumo rasmi umeukuta, so tulia wakunyonye, na kama umeamua kuwapigia kelele, basi usisahau kuwapigia kelele na waliokuweka kwenye ukoloni mamboleo mpaka sasa. ( usiniambie tulishapata uhuru, kuna sababu ya kua na jina "ukoloni mamboleo")Tunaongelea current issue, yaani umchukie mtu kwa sababu alikutawala? Ulikuwa ni mfumo rasmi wa maisha ya kipindi hicho. Hata marekani walitawaliwa pia. Tunaongelea kwa sasa, hii jamii ya wachina ina manyanyaso sana kwa jamii ya africa. Sasa unataka tuipende kwa lipi?
Ok hatumchukii mtu kwa sababu ametutawala, ila kwanini unamchukia ambae hajakutawala ( mchina)?Tunaongelea current issue, yaani umchukie mtu kwa sababu alikutawala? Ulikuwa ni mfumo rasmi wa maisha ya kipindi hicho. Hata marekani walitawaliwa pia. Tunaongelea kwa sasa, hii jamii ya wachina ina manyanyaso sana kwa jamii ya africa. Sasa unataka tuipende kwa lipi?
Mbona unachekesha mkuu, unasema eti wote twajuwa tulifanyiwa nini....nani hao wole? Huoni watu mpaka leo bado wanaona ujiko kujifanya waarab na kama wanajuwa historia basi wasingekuwa wajinga hivyo. Mtu anaona ujiko kuacha jina lake la ukoo akajiita Jackson, Michael, John ili tu afananishwe na mzungu. Wabongo wengi bado wana matatizo ya kiakili, hawajitambui hata kidogo.Wakuu hebu leo tuongelee hili swala. Katika mitandao ya kijamii tunaweza ona anti china movement ni nyingi kuliko anti west movements. Au ni kwa sababu wachina wako simple. Kwann tuna attack sana wachina japokua wote tunajua historia na tunajua ni nini tulifanyiwa, nani alitufanyia na tunaendelea kufanyiwa katika mfumo tofauti.
Hii chuki kwa nn ina concetrate sana kwa wachina ambao hatuna historia mbaya nao.
Hii inanikumbusha pia south afrika (xenophobia) kwamba, wa south afrika wanafukuza waafrika wenzao wageni wakati waliowachapa viboko miaka 400 na wakachukua ardhi yao wapo wanachekelea.
Ni kwamba waafrika wameumbwa kujichukia kiasi hicho. Pia kwann tunaonesha unafiki linapokuja swala la kutenda haki kwa wote, kwa nn tunaangalia kundi lisilo na power ndo tunashambulia.
Hii ni kama story ya club. Kwamba watu wawili wamesababisha bia yako kumwagika, ila kati ya wale watu 2 mmoja ni baunsa, unanyanyuka unampiga yule ambae sio baunsa afu baunsa unamuacha. Hii ni moronic behavior sijawahi ona.
Hili ni kosa la serikali kutodhibiti kikamilifu, sio kosa la wachina, tunarudi kule kule, unahukumu wachina wote kwa kosa la wachina wachache wahuni ambao wahuni hawakosekani taifa lolote lileMtu unaekaa kumtetea mchina we ni punguani.
Hao wapumbavu wamekula panya huko na viumbe vingine vya ajabu wameleta Covid tumeteseka dunia nzima.wao wanauza barakoa na chanjo.
Kuna video na picha za hatari hao jamaa wanauza nyama za maiti,wanasaga wanapack na kuuza.
Ukiona packed tuna chunks ujue unakula nyama ya mnaijeria.
Ukiambiwa pulled chicken maiti ya mchina hiyo. Bahati nzuri kwangu ni maharage,kisamvu,ugali,kunde samaki kuku.
Nyama nada sana.
Vyakula vya makopo sigusi
Mkuu kuna jambo nimekuandikia pm naomba unifanyie wepesi katika jambo hiloEuropean wepi waliomtawala Mchina? Ni sehemu tu ndogo ya China yaani Kisiwa cha Hong Kong ndio ilitawaliwa na Britain lkn hadi leo angalia tofaiti ya wachina wa Hong Kong na wale wa Mainland China
Badilisha Mindset yako Mkuu, hakuna Mchina anaekuja Afrika kwa faida yako wewe, Usijidanganye kwamba kuna Mchina au Mrusi au Mmarekani anaeipenda Africa na yuko tayari kuipa faida Afrika. Hakuna urafiki wa kweli na hao watu iwe Chinese, Americans, English, Russians na wengine wote, tatizo letu Africans ni Akili hatuna Akili ya kugundua tunatakiwa kufanya nini.Hili ni kosa la serikali kutodhibiti kikamilifu, sio kosa la wachina, tunarudi kule kule, unahukumu wachina wote kwa kosa la wachina wachache wahuni ambao wahuni hawakosekani taifa lolote lile
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Wapi nimekataa kwamba mchina hakutawaliwa?Kumbe walitawaliwa, mbona hata afrika ethiopia haikutawaliwa, kubali kuwa hata mchina alitawaliwa. Kubali tu
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Umesema kweli tupu kuhusu tofauti yetu na wao na hapa ndipo chuki inapo zaliwa.Tunatofautiana nao jamaa mazingira yao ni kazi, kazi, kazi, kazi
Sisi tumejizoeza na umaskini wetu kazi kidogo BATA jingi!
Siyo Wachina Tu. Wakorea, Wafilipino, Wajapan ndiyo kabisaah kazi mpaka wao serikali inatoa amri majengo yazimwe taa. Watu wakalale, wapumzike!
Wakija Bongo, mbongo anapigiwa simu oyaah nakuja, dereva kachelewa,
Secretary anakuambia haji kibaruani kwa sababu Jana kulikuwa na kigodoro!
Wengine wakija hawatimizi majukumu!
Wizi, dereva anaiba mafuta, SGR Mwanza, madereva wanapiga nyoka mafuta, mpaka unajiuliza sasa nchi itajengeka kweli!?
Mkuu umemaliza kila kitu na hii ndio sababu kuu ya chuki dhidi yao inapo anzia.Tunatofautiana nao jamaa mazingira yao ni kazi, kazi, kazi, kazi
Sisi tumejizoeza na umaskini wetu kazi kidogo BATA jingi!
Siyo Wachina Tu. Wakorea, Wafilipino, Wajapan ndiyo kabisaah kazi mpaka wao serikali inatoa amri majengo yazimwe taa. Watu wakalale, wapumzike!
Wakija Bongo, mbongo anapigiwa simu oyaah nakuja, dereva kachelewa,
Secretary anakuambia haji kibaruani kwa sababu Jana kulikuwa na kigodoro!
Wengine wakija hawatimizi majukumu!
Wizi, dereva anaiba mafuta, SGR Mwanza, madereva wanapiga nyoka mafuta, mpaka unajiuliza sasa nchi itajengeka kweli!?