highland JF-Expert Member Joined Aug 3, 2021 Posts 295 Reaction score 853 Dec 5, 2021 #41 shylock said: Sie hatuna shida na shemeji. 4/12 ni mwendo wa kisingeli tu. Na vile hamna kiingilio tunakesha afu asubuhi tunaamkua kwa mwamposa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Click to expand... dah nimecheka sanaaa
shylock said: Sie hatuna shida na shemeji. 4/12 ni mwendo wa kisingeli tu. Na vile hamna kiingilio tunakesha afu asubuhi tunaamkua kwa mwamposa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Click to expand... dah nimecheka sanaaa
Mr. Purpose JF-Expert Member Joined Nov 12, 2016 Posts 1,468 Reaction score 2,767 Dec 5, 2021 #42 Hii ni ishara ya uoga. Hiyo ni biashara, ushindani upo na ndiyo kama hivyo. Weka niweke tuone nani mkubwa. Komaeni kupambana acheni uoga.
Hii ni ishara ya uoga. Hiyo ni biashara, ushindani upo na ndiyo kama hivyo. Weka niweke tuone nani mkubwa. Komaeni kupambana acheni uoga.
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 17,640 Reaction score 22,748 Dec 5, 2021 #43 Ruyama said: Wapi wamefunika? E fm au Clouds Click to expand... Sijui kwa kweli ila efm ππππna kiingilio chao cha buku ingawa watu wanajua ni bure.......
Ruyama said: Wapi wamefunika? E fm au Clouds Click to expand... Sijui kwa kweli ila efm ππππna kiingilio chao cha buku ingawa watu wanajua ni bure.......
Scorpio Me JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 6,119 Reaction score 7,934 Dec 5, 2021 #44 Mbona shemej wa taifa hatujamuona
ielewemitaa JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 10,764 Reaction score 9,477 Dec 6, 2021 #45 Duuuh sawa
msomi uchwara JF-Expert Member Joined Oct 17, 2017 Posts 4,280 Reaction score 7,903 Dec 7, 2021 #46 Clouds nasikia walidondokea pua
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 17,640 Reaction score 22,748 Dec 8, 2021 #47 msomi uchwara said: Clouds nasikia walidondokea pua Click to expand... Rickrose alikuwepo