Kwanini Clouds wameingilia tarehe 4/12 ya EFM?

Sie hatuna shida na shemeji. 4/12 ni mwendo wa kisingeli tu. Na vile hamna kiingilio tunakesha afu asubuhi tunaamkua kwa mwamposa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
dah nimecheka sanaaa
 
Hii ni ishara ya uoga. Hiyo ni biashara, ushindani upo na ndiyo kama hivyo.

Weka niweke tuone nani mkubwa.

Komaeni kupambana acheni uoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…